Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Hivi wana-JF inawezekana ukawa unapiga simu au kutuma SMS kwa mtu halafu inaingia kwenye simu ya mtu mwingine? Nimeshangaa kukuta SMS zangu zimeingia upande wa pili, pamoja na kwamba kule zilikokuwa zinakusudiwa kwenda zilifika!! Siku zingine una-beep upande mwingine ghafla mtu yule unayehisi kwamba huwa ameunganishwa kupokea pia simu zako naye ana-beep, hii imekaaje wakuu?
Lakini huwa namhisi jamaa yangu anayefanyakazi kwenye kampuni ya simu ndo kafanya madudu hayo. Sheria inasemaje kuhusu kuingilia mawasiliano ya faragha ya mtu mwingine? Naamini hapa JF kuna wanasheria watanisaidia ili nichukue hatua!!
Lakini huwa namhisi jamaa yangu anayefanyakazi kwenye kampuni ya simu ndo kafanya madudu hayo. Sheria inasemaje kuhusu kuingilia mawasiliano ya faragha ya mtu mwingine? Naamini hapa JF kuna wanasheria watanisaidia ili nichukue hatua!!