Tafadhari mwenye maarifa ya kutosha juu ya uchakachuaje wa modem ya Voda aina ya K3565 -Z, nimejaribu kuchakachua lakini kuna sehemu imenishinda, nilifanikiwa kuweka dashboard ya JOIN AIR na...
nimeshamaliza kuandika progam yangu, ila nataka niiweke kwenye cd ili watu wengine waweze kuinstall, nifenyeje? from the start to stop, please give the algolithim of that problem, thanks for your...
Mambo vp wakuu? naomba msaada wenu computer yangu haitunzi screen saver wala wallpaper kulikoni? nifanjeje, inawezekana ni coz of WINDOWS 7? please, help me.
naitaji ushauri wana JF,naitaji genuine antivirus that can save 100 users with minimum price
na je hizi kaspesky au norton zinazouzwa elfu 35,000 for single user na 60 kwa 3 users ni za kweli...
Sina hakika kama hapa ni mahala sahihi kwa hii post yangu,
lakini issue ni kwamba hivi karibuni nilihisi kupungukiwa pesa kwenye simu yangu, nikashangaa shangaa nikaacha kama ilivyo.
Sasa leo...
Wakuu naomba kujua kama hizo modem za tiGO zina chakachulika ili ni wanunulie vijana wangu wajimwage na Airtel,
wamezishusha bei hadi TSH 30,000.
jinsi ya kuchakachua.
Wakuu,
Kwenye...
Dear members we have accomplished 90% of construction of Transport sector database. I am inviting you to visit www.transportinfo.go.tz. It is a database where you can access information in form of...
Wataalam wa program. katika kuendelea kujifunza kwa vitendo mambo mbali mbali ninataka kupata ushauri wa kitaalam, au source ya article nzuri au hata souce ya Video training zitazotuwezesha...
Naomba Msaada wa code za IDM 605 kwa mtu mwenye nazo,NIlikua natumia trial version lakini muda wake umeisha na nimeipenda sana hii Software,Natanguliza shukrani kwenu wana Jf...
The following are the specs for my Power book G4 15'
Mac OS X Version 10.3.9
Processor 1.5 PowerPc G4
Memory 1GB DDR SDRAM
Apart from that it has the following accessories:
2...
Nafanya final year project katika ICT hapa mlimani sasa kuna program ya macromedia flash professional 8 nimeipata ila nashindwa kuitumia. Nataka kutengeneza multimedia content for...
Nimewahi kusikia kuwa kuna namba unaweza kuingiza kwenye simu kwakulenga namba fulani ikikupigia usipatikane na unaweza ukaitoa na baadae akikupigia ukapatikana.
kama kuna mwana jf anaijua naomba...
jinsi ya kuweka program kwenye cd mpaka ikawa installed kwenye computer za watu wengine. Namaanisha kama nimeandika kwenye text pad na nika compile na nika run, lakini hii program yangu nataka...
Hello JF once again,
Napenda kuchukua fursa hii ya ukweli na uwazi, kuwakribisha wana JF katika kutia nguvu kazi katika Project yangu iliopo katika tovuti ya hapo chini---unataweza kufaidika vipi...