Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu zangu nliomba kujuzana juu ya chanel mbalimbali za DSTV...Ama wewe mpenzi wa DSTV unaifurahia chanel ipi katika kujifunza kwako. Nawasilisha
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu kwa hizi gharama za bando nimefikiria ninunue kale ka wi-fi kadogo ka Airtel kwa aliyewahi kutumia naomba ushuhuda, je hakisumbui mtandaoni?
11 Reactions
97 Replies
5K Views
Nchi ya Tanzania itaweza kushuhudia tukio adimu la kupatwa Kwa Mwezi nyakati za usiku Siku ya Jumapili wakati kabla jua kuchomoza. Dokta Jiwaji mhadhiri mkuu wa Fizikia na mtaalam wa unajimu...
2 Reactions
4 Replies
453 Views
Nashindwa kuelewa kwanini app hii inaishia ku loading sana bila kufunguka? Au bado imefungiwa?
2 Reactions
7 Replies
657 Views
za saa hizi wanajamvi rejea kichwa cha habari hapo juu ningependa kufahamu jinsi ya kutengeneza bomu la kutupa asante
2 Reactions
68 Replies
27K Views
Wakuu kwema poleni mihangaiko ya kutafuta ugali wetu wa Kila siku Basi Nimepata Kalikizo nkaona isiwe kesi Wacha nivute game nicheze kwenye laptop yangu (gaming PC GTX 1050) Nikaweka uncharted...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Hello jf experts, salama? msaada wenu tafadhali. Naomba kupata 'live epl game apps' ambazo naweza zina cast to tv. Tv nnayotumia ni Hisence, smart
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari wana jm. Juzi katika pitapita zangu uko youtube nilikutana na video moja ya jaamaa anaitwa () ni mbongo mwenzetu alikua akielezea zofauti ya IT na cybersecurity ase niliumia sana🥲🥲...
1 Reactions
3 Replies
406 Views
Nimezitumia Iphone kwa mudamrefu, nilikuwa sisikii wala sioni simu nyingine nje ya iphone, ila baada ya kuhamia android sijioni kabisa nikirudi nilikotoka. Simu za android hapa nazoziongelea ni...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
“Kariakoo sio soko. Ni vita ya akili. Wachache wanaotoka na faida ni wale wanaojua wapi pa kuchimba.” — Sehemu ya maneno niliyosikia kwa fundi mmoja nikiwa nimepotea Kariakoo mwaka 2019...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Kwenye tovuti ya Android authority, imetoa Ripoti kuhusu toleo jipya la Simu toka Google Inaitwa Google Pixel 10 Series' iliyotoka wiki kadhaa zilizopita lakini baadhi ya watu Mbalimbali...
3 Reactions
4 Replies
521 Views
Kuanzia 2026 simu za Android hazitaweza tena kuinstall apk ambazo developer wake hayupo verified na Play Store.
2 Reactions
4 Replies
452 Views
Mbeya University of Science and Technology (MUST) Hiki chuo mnakifahamu? Moja ya vyuo vyenye watu magenius hapa Tanzania ni pamoja na hiki chuo. Ubunifu unaofanyika kwenye hiki chuo unaweza sema...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari wana jf! Kama kichwa kinavyosema! Je nawezaje kuanza biashara ya web hosting?? Ni vitu gani nitahitaji? Na gharama ni shilingi ngapi?? Je ni options gani ntakua nazo? Nikihitaji kuwa na...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Uchambuzi wa kina kuhusu utofauti wa IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security. Post hii nimewandalia hususan wanafunzi waliomaliza sekondari wakitarajia...
48 Reactions
136 Replies
36K Views
MUHIMU: UZI HUU SIO WA KUKUMBUSHANA COMPUTER GAMES Binafsi nilianza kwenda Internet cafe 2002, computer zilikuwa zenye visogo 😂 . Mitanado maarufu kwa hapa bongo ilikuwa ni Marafiki.com na...
43 Reactions
169 Replies
14K Views
kuanzia 2003 nikiwa bado shule ya msingi niliweza kuujua ulimwengu wa internet kupitia internet cafe ya mjomba, ilikuwa biashara inayolipa vizuri enzi hizo, Enzi hizo kuunganishwa internet uwe na...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari wanafamilia wenzangu naomba msaada namna ya kuseti configuration ya wifi zinazopokea laini zote, nikiweka laini na kulog in inakubali ila inanipa ujumbe wa connected without internet lakini...
2 Reactions
8 Replies
700 Views
💭 Kwa muda wa miaka mingi toka mwaka 2022 tulikua tunasubiria juu ya toleo jipya la Simu ya Samsung inayojikunja mara tatu Hatimaye septemba to remember bhana!!! 💭 Ripoti inaonyesha kampuni ya...
2 Reactions
11 Replies
888 Views
Back
Top Bottom