Nchi ya Tanzania itaweza kushuhudia tukio adimu la kupatwa Kwa Mwezi nyakati za usiku Siku ya Jumapili wakati kabla jua kuchomoza.
Dokta Jiwaji mhadhiri mkuu wa Fizikia na mtaalam wa unajimu...
Wakuu kwema poleni mihangaiko ya kutafuta ugali wetu wa Kila siku
Basi Nimepata Kalikizo nkaona isiwe kesi Wacha nivute game nicheze kwenye laptop yangu (gaming PC GTX 1050)
Nikaweka uncharted...
Habari wana jm.
Juzi katika pitapita zangu uko youtube nilikutana na video moja ya jaamaa anaitwa () ni mbongo mwenzetu alikua akielezea zofauti ya IT na cybersecurity ase niliumia sana🥲🥲...
Nimezitumia Iphone kwa mudamrefu, nilikuwa sisikii wala sioni simu nyingine nje ya iphone, ila baada ya kuhamia android sijioni kabisa nikirudi nilikotoka.
Simu za android hapa nazoziongelea ni...
“Kariakoo sio soko. Ni vita ya akili. Wachache wanaotoka na faida ni wale wanaojua wapi pa kuchimba.”
— Sehemu ya maneno niliyosikia kwa fundi mmoja nikiwa nimepotea Kariakoo mwaka 2019...
Kwenye tovuti ya Android authority, imetoa Ripoti kuhusu toleo jipya la Simu toka Google Inaitwa Google Pixel 10 Series' iliyotoka wiki kadhaa zilizopita lakini baadhi ya watu Mbalimbali...
Mbeya University of Science and Technology (MUST)
Hiki chuo mnakifahamu? Moja ya vyuo vyenye watu magenius hapa Tanzania ni pamoja na hiki chuo. Ubunifu unaofanyika kwenye hiki chuo unaweza sema...
Habari wana jf!
Kama kichwa kinavyosema! Je nawezaje kuanza biashara ya web hosting?? Ni vitu gani nitahitaji? Na gharama ni shilingi ngapi??
Je ni options gani ntakua nazo? Nikihitaji kuwa na...
Uchambuzi wa kina kuhusu utofauti wa IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security.
Post hii nimewandalia hususan wanafunzi waliomaliza sekondari wakitarajia...
MUHIMU: UZI HUU SIO WA KUKUMBUSHANA COMPUTER GAMES
Binafsi nilianza kwenda Internet cafe 2002, computer zilikuwa zenye visogo 😂 .
Mitanado maarufu kwa hapa bongo ilikuwa ni Marafiki.com na...
kuanzia 2003 nikiwa bado shule ya msingi niliweza kuujua ulimwengu wa internet kupitia internet cafe ya mjomba, ilikuwa biashara inayolipa vizuri enzi hizo, Enzi hizo kuunganishwa internet uwe na...
Habari wanafamilia wenzangu naomba msaada namna ya kuseti configuration ya wifi zinazopokea laini zote, nikiweka laini na kulog in inakubali ila inanipa ujumbe wa connected without internet lakini...
💭 Kwa muda wa miaka mingi toka mwaka 2022 tulikua tunasubiria juu ya toleo jipya la Simu ya Samsung inayojikunja mara tatu Hatimaye septemba to remember bhana!!!
💭 Ripoti inaonyesha kampuni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.