Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu.. Kama unatumia pixel utakubaliana na mimi kuwa hizi simu hazina option ya ku-record call(Due to private rules) Sasa nimekuja kwenu kuomba kujuzwa App nzuri ya ku-record calling kwa hizi pixel
0 Reactions
1 Replies
260 Views
Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako... Mi naanza na mobdro app noma sana Link ya kudownload MOBDRO Charlie mobdro.apk...
56 Reactions
4K Replies
962K Views
Kama sio mchunguzi na mdadisi huwezi kuelewa hizi picha hapa chini mwanzo nilidhani nimepigwa au kioo kibovu maana haiwezekani monitor ya mwaka 2011 Hp ya kushoto iizidi quality monitor ya mwaka...
3 Reactions
9 Replies
605 Views
Kutokana na Mvutano uliopo kati ya Serikali, Watoa Huduma na Wananchi kuhusu Bundles na Shutuma za Wizi inabidi sisi wananchi tuelewe tunataka nini na Wizi ni nini? Issue za Wizi: Kama kuna issue...
8 Reactions
24 Replies
4K Views
Tofauti Kati ya GTX na RTX Na Its MalekoGJ Kama umewahi kununua laptop au desktop yenye graphics card, kuna uwezekano mkubwa umekutana na maneno GTX au RTX kwenye maelezo ya kifaa. Lakini, je...
2 Reactions
0 Replies
285 Views
Wakuu nahitaji muongozo wenu wapi ninapoweza kununua au kuchonga spare part hii ya mashine ya kutengeneza chakula cha kuku cha punje(pellets),nataka disk yenye matundu madogo pungufu ya...
1 Reactions
5 Replies
444 Views
ChatGPT Pro ni mpango wa malipo wa kiwango cha juu (gharama: $200/mwezi), —ikiwa ni pamoja na upatikanaji usio na kikomo* wa GPT-5, sauti ya hali ya juu (advanced voice), na vipaumbele vya trafiki...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu hii imekaaje unafikiri Tv nchi 32 kushuka chini inafaa kununuliwa Tv guard au nayo ni kama simu tu,
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Jinsi ya Kutumia ChatGPT Bure ChatGPT inatumiwa sana duniani kwa ajili ya maswali, uandishi wa makala, kutafsiri lugha, kuandika, kufanya utafiti (Research) na content za mitandaoni. Watu wengi...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye blog yenye Adsense iwe kwenye wordpress ya kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06 Shukrani
0 Reactions
3 Replies
603 Views
Mwisho rasmi wa windows 10 ni 14 October 2025 (itaendelea kuwepo kwa matoleo machache maalum) Vigezo vikuu rasmi vya windows 11 ni Intel Core 8th Generation UEFI TPM 2.0 Pc nyingi sana hapa...
7 Reactions
42 Replies
1K Views
Wakuu, Nasoma comments na nitashukuru sana kwa ushauri wenu JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI CHUO CHA MAFUNZO YA...
8 Reactions
84 Replies
4K Views
Naomba anaejua wapi naweza pata printer ya Epson inayoprint A2 anijulishe
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Wakubwa shkamooni wadogo habari zenu... nawaza niongeze printer ili process ya input na output ikamilike, naomba mnijuze ni ipi brand nzuri ya printer kwaajili ya matumizi madogo ya nyumbani.
3 Reactions
57 Replies
3K Views
Kitengo cha huduma za mtandaoni cha Amazon, Amazon Web Services (AWS) kimekumbwa na hitilafu na kusababisha changamoto ya upatikanaji wa huduma kwa makampuni mbambali duniani. Huduma zilizopata...
0 Reactions
4 Replies
223 Views
Kama uzi unavyojieleza ni kuwa nina ps4 slim yangu mpya ya kutoka china sasa kuna siku nimeamua ni sign in kwenye account yangu ya marekani sasa cha ajabu kila nikisign in inaandika "cannot use...
0 Reactions
0 Replies
187 Views
  • Featured
Ni wazi kuwa matumizi ya mtandao yameminywa sana Tanzania kwa sababu za kisiasa zinazowekwa kwenye mtazamo wa kiusalamaua na kimaadili, tumefikia kipindi mtu anahitaji kutafuta mbinu za kuweza...
36 Reactions
29 Replies
2K Views
Hii PC mwenyewe anasema ghafla tu ilizima. Nikiwasha inalizimisha kufanya Auto repair. Inakaa hivyo kwa zaidi ya masaa 12. Nimejaribu kureset, kufanya system restore, kufanya new installation...
1 Reactions
2 Replies
211 Views
Habari zenu wana JF, hivi karibuni nimeshuhudia poromosheni kubwa ya simu za kampuni ya oppo hasa zile za A series, unakuta internal storage 128, RAM 6, Qualcomm and octa core processor, ambapo...
10 Reactions
118 Replies
30K Views
Binafsi sijajua tofauti yake maana naonaga zote kama ni sawa maana ukiingia goole unapata na ukiingia crome unapata. Je, kuna tofauti nyingine?
3 Reactions
24 Replies
877 Views
Back
Top Bottom