Wakuu naomba tujuzane kitu
Kuna uzi unatrend sana humu jf wa kuhusu kuset chanel unaitwa Africa satellite sat gear
African Satellite World and Sat Gear...
kampuni ya whats app imeongeza uhondo wa status ambapo sasa status inakuwezesha kuweka picha, video au GIF na pia inakuwezesha kujua nani alio view status yko.
Ili mtu aweze ku set status...
Habari
Husika na heading above wakuu… naomba kwa mwenye uelewa kuhusiana na title juu hapo, ni ipi inalipa moja kwa moja na malipo yawe cash au hata bank?
Asante, karibu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Habari wakuu,
Ninawazo hapa mahususi kwa sisi wa developing countries.
Wazo hili halitokani na Zuku Fiber + TV
Device ambayo itakuwa inaweza kupokea signal za internet+tv through Fiber (SFP Slot)...
Kwa sasa uki 'search' facebook matokeo yanakuja kwa mchanganyiko wa post, picha na video bila mpangilio maalum.
Hakuna sehemu ya kuchagua uone post peke yake
Hakuna sehemu ya kuchuja posti mpya...
Watu wengi hutumia Airplane Mode ili kuepuka kupigiwa simu kwa sababu mbalimbali. Hata hivyo, njia hii huondoa kabisa mtandao wa simu na intaneti, hivyo kushindwa ku-browse.
Sasa nakufundisha...
Bitcoin mining is a complex but rewarding process that helps to secure the Bitcoin network and create new Bitcoins. While the cost of mining has increased in recent years, it can still be a...
Watu wengi huchukizwa na ratiba za kushtukiza, hutaka kuandaliwa ili wajiandae kuhusu tukio lenyewe.(Mindset)
Nafikili na wewe ni miongoni hupendi mtu akuambie latiba ambayo haukuwa nayo kabla...
Kuna siku niliwahi kuandika mada humu kuhusu jinsi Tanzania ilivyo na magenius wengi, lakini hawavumi.
Haya, kuna ndege za Skyleader zimetengenezwa na vijana 13 wa Kitanzania kuanzia mwanzo hadi...
Oli otya leero?
Watu wengi tunatumia simu katika maisha yetu ya kila siku, kuna watu ambao tunawasiliana nao mara kwa mara lakini wengine hulazimika kutafuta namba zao kwenye contacts au calls...
Yoti ni teknolojia ya kimataifa ya kidijitali ya utambulisho (Digital ID) ambayo inakuwezesha kuthibitisha taarifa zako binafsi kwa njia salama, ya haraka na isiyo na makaratasi. Hapa chini ni...
Habari wadau wa Jamiiforum! Mimi ni tech enthusiast hapa Dar, na leo nataka kushare thoughts zangu kuhusu technologies zinazotawala Tanzania na how they can help you kufind job au improve in your...
Habari za wakati huu wana tekinolojia, nahtaji kuelewa utofauti na ikiwezekana ubora kati ya hizi aina za playstations 4.
Ps4 slim,ps4 FAT, ps4 version 9 na ps4 pro, chipped na non chipped...
Niaje!?
Eeeh bwana mimi nahitaji hizi game 5.
NBA 2K
FC mpira
RED DEAD REDEMPTION
GHOST OF TSUSHIMA
GOD OF WAR
PS4 yangu haijawa jailbroken!
Nipeni muongozo.
Wakuu,
Naomba ushauri ni simu gani nzuri(Smartphone) ambayo ni Mid range pamoja na bei yake(Tanzania) kutoka kampuni yoyote kubwa isipokuwa Tecno na Infinix kwa vigezo vifuatavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.