Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu naomba tujuzane kitu Kuna uzi unatrend sana humu jf wa kuhusu kuset chanel unaitwa Africa satellite sat gear African Satellite World and Sat Gear...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
kampuni ya whats app imeongeza uhondo wa status ambapo sasa status inakuwezesha kuweka picha, video au GIF na pia inakuwezesha kujua nani alio view status yko. Ili mtu aweze ku set status...
5 Reactions
72 Replies
15K Views
Habari Husika na heading above wakuu… naomba kwa mwenye uelewa kuhusiana na title juu hapo, ni ipi inalipa moja kwa moja na malipo yawe cash au hata bank? Asante, karibu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu, Ninawazo hapa mahususi kwa sisi wa developing countries. Wazo hili halitokani na Zuku Fiber + TV Device ambayo itakuwa inaweza kupokea signal za internet+tv through Fiber (SFP Slot)...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa sasa uki 'search' facebook matokeo yanakuja kwa mchanganyiko wa post, picha na video bila mpangilio maalum. Hakuna sehemu ya kuchagua uone post peke yake Hakuna sehemu ya kuchuja posti mpya...
2 Reactions
1 Replies
466 Views
Naomba msaada wa website gani naweza kupata hii patch. Nimeitafuta sana lakini napata ambazo haziko updated.
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Watu wengi hutumia Airplane Mode ili kuepuka kupigiwa simu kwa sababu mbalimbali. Hata hivyo, njia hii huondoa kabisa mtandao wa simu na intaneti, hivyo kushindwa ku-browse. Sasa nakufundisha...
8 Reactions
56 Replies
3K Views
Bitcoin mining is a complex but rewarding process that helps to secure the Bitcoin network and create new Bitcoins. While the cost of mining has increased in recent years, it can still be a...
3 Reactions
44 Replies
6K Views
Watu wengi huchukizwa na ratiba za kushtukiza, hutaka kuandaliwa ili wajiandae kuhusu tukio lenyewe.(Mindset) Nafikili na wewe ni miongoni hupendi mtu akuambie latiba ambayo haukuwa nayo kabla...
2 Reactions
6 Replies
840 Views
Kuna siku niliwahi kuandika mada humu kuhusu jinsi Tanzania ilivyo na magenius wengi, lakini hawavumi. Haya, kuna ndege za Skyleader zimetengenezwa na vijana 13 wa Kitanzania kuanzia mwanzo hadi...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Oli otya leero? Watu wengi tunatumia simu katika maisha yetu ya kila siku, kuna watu ambao tunawasiliana nao mara kwa mara lakini wengine hulazimika kutafuta namba zao kwenye contacts au calls...
3 Reactions
0 Replies
420 Views
Yoti ni teknolojia ya kimataifa ya kidijitali ya utambulisho (Digital ID) ambayo inakuwezesha kuthibitisha taarifa zako binafsi kwa njia salama, ya haraka na isiyo na makaratasi. Hapa chini ni...
3 Reactions
3 Replies
541 Views
Habari wadau wa Jamiiforum! Mimi ni tech enthusiast hapa Dar, na leo nataka kushare thoughts zangu kuhusu technologies zinazotawala Tanzania na how they can help you kufind job au improve in your...
1 Reactions
0 Replies
506 Views
Habari za wakati huu wana tekinolojia, nahtaji kuelewa utofauti na ikiwezekana ubora kati ya hizi aina za playstations 4. Ps4 slim,ps4 FAT, ps4 version 9 na ps4 pro, chipped na non chipped...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Niaje!? Eeeh bwana mimi nahitaji hizi game 5. NBA 2K FC mpira RED DEAD REDEMPTION GHOST OF TSUSHIMA GOD OF WAR PS4 yangu haijawa jailbroken! Nipeni muongozo.
1 Reactions
13 Replies
865 Views
Busara zinaendana na enzi... Nyani mzee amekwepa mishale mingi Tujuane wazee waptrick.com, site gani ingine ulikuwa inaitembelea kupitia opera mini?
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Mambo ni mengi mda ni mchache twende kazi
17 Reactions
124 Replies
4K Views
Habari za jioni, naomba kujua nitumie VPN gani ili niweze kutumia network for free?? Mimi natumia laini ya Halotel pamoja yas
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba ushauri ni simu gani nzuri(Smartphone) ambayo ni Mid range pamoja na bei yake(Tanzania) kutoka kampuni yoyote kubwa isipokuwa Tecno na Infinix kwa vigezo vifuatavyo...
9 Reactions
198 Replies
15K Views
Back
Top Bottom