Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu kwema, Natafuta simu Kwa bajeti hiyo, ikizidi sana 250. Simu Gani nzuri? Nilikuwa nawaza hapa kati ya Samsung A03 au Infinix 12i ipi nichukue? Mwl.RCT
2 Reactions
72 Replies
12K Views
Kama bado hujui, dunia ya tech inakimbia faster kuliko mawazo ya wengi. Na moja kati ya game changers ambazo watu wadogo wanazipuuzia ni Cloud Technology ☁️ — - 1. Cloud sio kwa makampuni...
1 Reactions
1 Replies
422 Views
Habari wanaJamiiForums Karibu kwenye uzi wetu mpya unaolenga kila kitu kuhusu Digital Marketing! Katika enzi ya kisasa ya kidijitali, kuelewa wa uuzaji wa kidijitali ni muhimu kwa biashara...
4 Reactions
9 Replies
922 Views
Naamini huenda umewahi kukumbana na changamoto ya kutofautisha dhana mbili muhimu sana katika ulimwengu wa mtandao: domain na hosting. Mara nyingi, watu huchanganya au kushindwa kuzielewa...
1 Reactions
1 Replies
651 Views
Ila Wabongo nyoko zenu🙌🏾🙌🏾🙌🏾 yani sisi huku Mtoni hata cover hatujaziona… Nyie huko mnazo za 500k 😂😂😂
0 Reactions
3 Replies
595 Views
Hii simu imenivutia, japo upande wa Charger 18w,Resolution hauridhishi, pia haina memory card slot (sio ishu kubwa) Mimi si mtaalamu sana wa haya mambo. Pia si mpenzi wa picha, camera sio ishu...
0 Reactions
0 Replies
275 Views
Naombeni msaada, ninatumia IE version 8 lakini sasa nikiclick link ili tab nyingine ifunguke au media player link itokee etc tab/link inatokea lakini iko empty inasearch indefinately. Kama kuna...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwema hapo wakuu, nimekaa nje ya JF toka waifungei Sasa natafakari tangazo la kuifungia JF Kuna statement moja inasema hatutapatikana ndani ya Tz kwa muda wa siku tisini. Wazo likaja kumbe nikiwa...
27 Reactions
60 Replies
3K Views
Jacob Mfadhili Sio kama sifahamu iyo C , lakini chai ya mtoto(mpya) haiwezi kuwa ya moto kama mkubwa (expert)kaka ,, Mimi nakuelewa unapo mwambia mtu ajifunze low level ama assembly ama C, mueleze...
1 Reactions
0 Replies
285 Views
Apple event ya Septemba 9 imetoa muelekeo mpya wa kimkakati wa kampuni hiyo katika kuimarisha utawala wake wa soko la vifaa vya elektroniki. Badala ya tu kutangaza bidhaa mpya, Apple imeonyesha...
0 Reactions
8 Replies
609 Views
Tunaweza sema Hello champion phone 😉 Apple inatarajia kuachia simu mpya ya iphone 17 series miezi mitatu mbeleni kuanzia sasa. Toleo jipya la iphone 17 pro & 17 pro max itakuja ikiwa Muonekano...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wanajamii forum kwa yoyote anayejua mfumo au jinsi ya kucheza zile mashine za bonanza ikiwemo teknolojia na weakness za ile mashine tujuzane humu tupate elimu
2 Reactions
44 Replies
28K Views
Habari za Jumapili wadau wa JamiiForums! Leo nimekujieni na hii thread, haswa baada ya jana kusikia kuwa JamiiForums imepigwa ban ya siku 90 na TCRA kwa kile wanachodai ni maudhui yanayopotosha...
3 Reactions
8 Replies
825 Views
Hatua 3 Jinsi ya kuingia Dark Web (simu na computer) Katika pitapita zangu nimekutana na maelezo kuhusu dark web internet ambayo haiwezi kufikiwa na injini za utafutaji za kawaida, watu wengi...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada. Sijui kama hili tatizo nalipata Mimi mwenyewe au na wengine mmekumbana nalo leo. Tangu asubuh nikijaribu Ku attach file haitaki kabisa na wala mails haziendi. Kuna kitu...
0 Reactions
7 Replies
973 Views
AI: Akili ya Bandia – Faida na Changamoto Zake Akili ya bandia (AI) ni teknolojia inayoweza kujifunza, kufikiria, na kutenda kama binadamu, lakini kwa kasi na ufanisi mkubwa zaidi. Inajumuisha...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wadau Nimezurula kariakoo mpaka nimechoka natafita usb switch sio usb hub usb switch ipo hv nina pc 3 na nina zitumia mara kwa mara kwa kaz mbalimbali sasq nikawa natafuta mfumo utakao...
1 Reactions
10 Replies
593 Views
Kwema Wakuu, Kuna idea nimeipata nahitaji kuianzishia APP. Sasa utaratibu ukoje? Naanzia wapi? Kuna vibali labda? Kama vipo naviombea wapi? Na kuna gharama? Kias gani kama zipo? Na kama App...
1 Reactions
12 Replies
824 Views
Katika kuhakikisha Mtandao wa Starlink unazidi kushika Kasi ulimwenguni Tajiri Elon Musk ameamua kuongeza nguvu zaidi kwa kuleta huduma hii nchini Uganda. Mtandao wa Starlink ambao unasifika kwa...
3 Reactions
10 Replies
731 Views
Wakuu naomba mwenye utaalamu na hii smartphone gimbal ya hohem isteady m6 jinsi ya kuitumia yenyewe pamoja na app yake anisaidie maana imekuwa inanipa shida sana namna ya kuset na kubalance simu yangu
1 Reactions
12 Replies
574 Views
Back
Top Bottom