Mbeya University of Science and Technology (MUST)
Hiki chuo mnakifahamu? Moja ya vyuo vyenye watu magenius hapa Tanzania ni pamoja na hiki chuo. Ubunifu unaofanyika kwenye hiki chuo unaweza sema...
Habari wana jf!
Kama kichwa kinavyosema! Je nawezaje kuanza biashara ya web hosting?? Ni vitu gani nitahitaji? Na gharama ni shilingi ngapi??
Je ni options gani ntakua nazo? Nikihitaji kuwa na...
Uchambuzi wa kina kuhusu utofauti wa IT, Computer science, Computer Engineering, Software engineering na Cyber security.
Post hii nimewandalia hususan wanafunzi waliomaliza sekondari wakitarajia...
MUHIMU: UZI HUU SIO WA KUKUMBUSHANA COMPUTER GAMES
Binafsi nilianza kwenda Internet cafe 2002, computer zilikuwa zenye visogo 😂 .
Mitanado maarufu kwa hapa bongo ilikuwa ni Marafiki.com na...
kuanzia 2003 nikiwa bado shule ya msingi niliweza kuujua ulimwengu wa internet kupitia internet cafe ya mjomba, ilikuwa biashara inayolipa vizuri enzi hizo, Enzi hizo kuunganishwa internet uwe na...
Habari wanafamilia wenzangu naomba msaada namna ya kuseti configuration ya wifi zinazopokea laini zote, nikiweka laini na kulog in inakubali ila inanipa ujumbe wa connected without internet lakini...
💭 Kwa muda wa miaka mingi toka mwaka 2022 tulikua tunasubiria juu ya toleo jipya la Simu ya Samsung inayojikunja mara tatu Hatimaye septemba to remember bhana!!!
💭 Ripoti inaonyesha kampuni ya...
Ijue Teknolojia ya Blockchain & Decentralized Internet
Katika ulimwengu wa leo, karibu kila kitu cha kidijitali kinadhibitiwa na watu wa kati (central authorities), iwe ni mitandao ya kijamii...
Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu?
Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo.
Nimekutana na challenge ambayo katika software...
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT.
""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot""
1. VIEW STATUS...
Hakika Dunia na maajabu yake kutana na jamaa mmoja toka YouTube aliweza kununua gari la buggati kwa Dola zaidi milioni $5,000,000 na kuletewa gari likiwa tupu bila Engine.
Anaitwa Virginia ni...
Chapa ya kimataifa ya Simu Kali za kijanja TECNO wameingia ushirikiano na kampuni ya DXOMARK kuweza kutambulisha Teknolojia mpya kwa kuzindua maabara ya kwanza ya kupiga picha Kali za Automatiki...
Habari wadau wa Jamiiforums! Mimi ni mtaalamu wa usalama wa mtandao (cybersecurity) kutoka Tanzania, na leo nataka tuzungumze kuhusu tukio la hivi majuzi la udukuzi nchini Kenya ambalo linapaswa...
Nimekwama wadau,kama kichwa cha habari kinavyoeleza,lengo langu ni kuweka windows 11 version 23H2,nimefuata taratibu zote za jinsi ya kuinstall windows 11 kwenye laptop yangu ya Microsoft Surface...
Landing page ni sehemu ya kwanza mteja anakutana nayo — kama mlango wa duka lako. Ukiwa boring au usioeleweka, hataingia ndani. Hii hapa ni formula ya kuandika landing page kali, inayo-convert kwa...
Unachohitaji ni Internet ya uhakika:
Kwa watumiaji wa android au smart TV, ingia PlayStore, download Lokke.
Ukimaliza, ifungue. Kwenye search, andika vavoo.to
Baada ya hapo, channels kibao...
Hizi ni Myth 7 za Teknolojia Zinakupotezea Pesa Nyingii Mno
Je, umewahi kuambiwa kwamba lazima ununue cable ya bei ghali ili kupata picha bora kwenye TV yako? Au kwamba kamera yenye megapixel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.