Kamusi ya Kiingereza kwa kiswahili inapatikana play store.
Inaonesha pia namna ya kutamka maneno
https://play.google.com/store/apps/details?id=tz.co.wadau.dictionary
Sent using Jamii Forums...
WhatsApp API ni Application Programming Interface ya WhatsApp, ambayo inayotumika kuunganisha WhatsApp na mifumo mingine ya biashara, kama vile chatbot, CRM (Customer Relationship Management...
Katika miezi ya karibuni, Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua hatua za kusitisha au kudhibiti upatikanaji wa baadhi ya mitandao ya kijamii kama Telegram na X (zamani Twitter) hususan nyakati...
Yo, wadau wa tech! Social media imekuwa kama nguvu kubwa kwa ukuaji wa tech ecosystem hapa Tanzania, na leo tunaangalia jinsi platforms kama JamiiForums, X, Instagram, LinkedIn, WhatsApp, YouTube...
Program ya Bitchat ni app ambayo imetengenezwa na aliyekua muanzilishi wa mtandao wa Twitter Jack Dorsey Sasa inapatikana kwa watumiaji wa iphone.
Program hiyo ya Bitchat inafanya kazi kupitia...
Anaitwa Jack Dorsey muanzilishi wa mtandao wa Twitter (kwa Sasa unaitwa X) amekua kimya kwa muda mrefu baada ya kuuza app yake kwa Tajiri Elon musk hatimaye amerudi Tena bhana.
💭 Amekuja na...
Jinsi ya Ku-Automate Biashara Yako ya Mtandaoni ili Upate Mauzo Bila Kua Mtumwa wa Simu Kila Siku
Utangulizi
Karibu kwenye zama mpya za biashara za mtandaoni, ambapo teknolojia inaweza kufanya...
A. Hakutakuwa na updates za Usalama (Security updates) – Virusi vipya na mbinu mpya za mashambulizi zitaweza kupenya kwenye mfumo wa Windows 10, ingawa antivirus kama windows defender itaendelea...
Miaka miwili sio safari ndefu sana, lakini kwa sisi SmartBusiness imekuwa kama karne nzima ya mafunzo, uzoefu na changamoto..
Tulianza kama ndoto kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati Africa...
Wakuu nimekuwa mtumiaji wa hii mifumo miwili inayobeba devices nyingi duniani kwa maana ya Ios na Android kwa muda mrefu sasa!
Nilichokuja kugundua hawa jamaa wa ios walitumia akili nyingi sana...
Hapo katika dishi la c band hilo kubwa ni uelekeo wa Azerspsce degree 45 e hapo unapata Clouds tv, Star tv, Channel ten, tv E, Mwangaza na Wasafi tv bila malipo kwa mwezi.
Hilo dishi la kushoto...
Kuna mambo kadhaa katika activities za WhatsApp yanayoweza kufuatiliwa (tracked) hata kama kuna usimbaji fiche wa mwisho-hadi-mwisho (end-to-end encryption), hasa kupitia ukusanyaji wa data-mama...
Kuna mjadala unaendelea kuhusu nani ni Baba wa Fizikia ya Sasa au ya Leo "Father of Modern Physics"
Wengine wanasema Baba (Muasisi) wa Physics ya leo ni Galileo kutokana na kuitoa Dunia kwenye...
Ivii Umewai kujiuliza Internet Shutdown Inavyofanya Kazi
Yaani kujiuliza Kwanini ghafla unakuta WhatsApp, Insta au net nzima Imekata
Internet Shutdowns ni moja ya silaha ya serikali nyingi za...
Wataalam hii inatatulika vipi
Wakuu, nilikua Dubai last week kikazi nikakutana na hii simu nikainunua ambayo ni oppo reno 12
Kipengele inagoma kujisajili whatssap inaniambia "you need official...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.