Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ijue Teknolojia ya Blockchain & Decentralized Internet Katika ulimwengu wa leo, karibu kila kitu cha kidijitali kinadhibitiwa na watu wa kati (central authorities), iwe ni mitandao ya kijamii...
1 Reactions
2 Replies
383 Views
Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu? Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo. Nimekutana na challenge ambayo katika software...
7 Reactions
68 Replies
2K Views
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT. ""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot"" 1. VIEW STATUS...
4 Reactions
4 Replies
496 Views
Hakika Dunia na maajabu yake kutana na jamaa mmoja toka YouTube aliweza kununua gari la buggati kwa Dola zaidi milioni $5,000,000 na kuletewa gari likiwa tupu bila Engine. Anaitwa Virginia ni...
0 Reactions
1 Replies
393 Views
Chapa ya kimataifa ya Simu Kali za kijanja TECNO wameingia ushirikiano na kampuni ya DXOMARK kuweza kutambulisha Teknolojia mpya kwa kuzindua maabara ya kwanza ya kupiga picha Kali za Automatiki...
0 Reactions
0 Replies
437 Views
Habari wadau wa Jamiiforums! Mimi ni mtaalamu wa usalama wa mtandao (cybersecurity) kutoka Tanzania, na leo nataka tuzungumze kuhusu tukio la hivi majuzi la udukuzi nchini Kenya ambalo linapaswa...
0 Reactions
5 Replies
629 Views
Laptop Yako Inakaribia Kufa – Huu Ndio Mwongozo wa Kuiokoa Mapema (Step-by-Step Maintenance Guide) Usisubiri motherboard ife ndipo uanze kuuliza maswali – soma, fanya, okoa. Watu wengi...
5 Reactions
4 Replies
586 Views
Nimekwama wadau,kama kichwa cha habari kinavyoeleza,lengo langu ni kuweka windows 11 version 23H2,nimefuata taratibu zote za jinsi ya kuinstall windows 11 kwenye laptop yangu ya Microsoft Surface...
1 Reactions
8 Replies
509 Views
Landing page ni sehemu ya kwanza mteja anakutana nayo — kama mlango wa duka lako. Ukiwa boring au usioeleweka, hataingia ndani. Hii hapa ni formula ya kuandika landing page kali, inayo-convert kwa...
0 Reactions
3 Replies
476 Views
Unachohitaji ni Internet ya uhakika: Kwa watumiaji wa android au smart TV, ingia PlayStore, download Lokke. Ukimaliza, ifungue. Kwenye search, andika vavoo.to Baada ya hapo, channels kibao...
2 Reactions
2 Replies
314 Views
Hizi ni Myth 7 za Teknolojia Zinakupotezea Pesa Nyingii Mno Je, umewahi kuambiwa kwamba lazima ununue cable ya bei ghali ili kupata picha bora kwenye TV yako? Au kwamba kamera yenye megapixel...
6 Reactions
4 Replies
762 Views
Tunashukuru kwa sapoti kubwa kutoka kwa wafanyabiashara na wajasiriamali mbalimbali. Leo tumefika hatua kubwa: ✅ 50,000+ Installs kwenye Play Store ✅ 12,000+ watumiaji hai kila siku...
3 Reactions
6 Replies
488 Views
TSH Rates Kila siku TSH Rates inanipa foreign exchange rates za benki za Tanzania. Kama unafanya biashara kimataifa najua unajua umuhimu wa taarifa kama hii—kujua thamani ya fedha kunakupa uwezo...
3 Reactions
3 Replies
441 Views
💭 Naam sio filamu za kuigiza Tena ni maisha Halisi, kwa miaka mingi Teknolojia ya Magari ya kupaa iliweza kugunduliwa toka mwaka 2015 kupitia kwa jamaa mmoja anaitwa Tim Draper. 💭 Kampuni ya Alef...
1 Reactions
7 Replies
446 Views
📍Utangulizi Katika dunia ya biashara ya kisasa, bidhaa pekee hazitoshi. Unaweza kuwa na bidhaa bora kuliko kila mtu — lakini kama hakuna anayejua unaiuza, huna tofauti na mtu asiyeuza kabisa...
0 Reactions
0 Replies
290 Views
Siku ya leo tar 20 August, Google wamezindua simu zao za Google Pixel kupitia event yao ya Made by Google 2025. Baadhi ya simu zilizozinduliwa ni Pixel 10, Pixel 10 Pro, Pixel 10 Pro XL, na...
8 Reactions
53 Replies
2K Views
Hydrogen Atom: Schrödinger ‎Equation and Quantum Numbers ‎Selection Rules state that: ‎“Allowed” transitions between energy levels ‎occur between states whose value of differ by one: ∆L= +1 and...
0 Reactions
4 Replies
259 Views
Kawaida kampuni ya Xiaomi huachia flagship mbili mwisho wa mwaka huko China lakini mwaka huu ni tofauti, wataachia flagship tatu Kutakuwa na Xiaomi 16, 16 Pro na 16 Pro Max, yani kama iPhone...
1 Reactions
7 Replies
517 Views
Gb
Nasikia ety Kuna gb Whatsapp iliyohakiwa, na huwa inakuwaga nzuri kweli, yaani haisumbui kama zingine Naomba ufafanuzi tafadhali wakuu, na kama uko nayo nisaidie plzzz
1 Reactions
4 Replies
315 Views
Wadau hamjambo, je nord vpn inaconnect vizuri ukiwa Tanzania au na yenyewe imeblockiwa?
2 Reactions
2 Replies
436 Views
Back
Top Bottom