Ijue Teknolojia ya Blockchain & Decentralized Internet
Katika ulimwengu wa leo, karibu kila kitu cha kidijitali kinadhibitiwa na watu wa kati (central authorities), iwe ni mitandao ya kijamii...
Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu?
Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo.
Nimekutana na challenge ambayo katika software...
ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT.
""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot""
1. VIEW STATUS...
Hakika Dunia na maajabu yake kutana na jamaa mmoja toka YouTube aliweza kununua gari la buggati kwa Dola zaidi milioni $5,000,000 na kuletewa gari likiwa tupu bila Engine.
Anaitwa Virginia ni...
Chapa ya kimataifa ya Simu Kali za kijanja TECNO wameingia ushirikiano na kampuni ya DXOMARK kuweza kutambulisha Teknolojia mpya kwa kuzindua maabara ya kwanza ya kupiga picha Kali za Automatiki...
Habari wadau wa Jamiiforums! Mimi ni mtaalamu wa usalama wa mtandao (cybersecurity) kutoka Tanzania, na leo nataka tuzungumze kuhusu tukio la hivi majuzi la udukuzi nchini Kenya ambalo linapaswa...
Nimekwama wadau,kama kichwa cha habari kinavyoeleza,lengo langu ni kuweka windows 11 version 23H2,nimefuata taratibu zote za jinsi ya kuinstall windows 11 kwenye laptop yangu ya Microsoft Surface...
Landing page ni sehemu ya kwanza mteja anakutana nayo — kama mlango wa duka lako. Ukiwa boring au usioeleweka, hataingia ndani. Hii hapa ni formula ya kuandika landing page kali, inayo-convert kwa...
Unachohitaji ni Internet ya uhakika:
Kwa watumiaji wa android au smart TV, ingia PlayStore, download Lokke.
Ukimaliza, ifungue. Kwenye search, andika vavoo.to
Baada ya hapo, channels kibao...
Hizi ni Myth 7 za Teknolojia Zinakupotezea Pesa Nyingii Mno
Je, umewahi kuambiwa kwamba lazima ununue cable ya bei ghali ili kupata picha bora kwenye TV yako? Au kwamba kamera yenye megapixel...
Tunashukuru kwa sapoti kubwa kutoka kwa wafanyabiashara na wajasiriamali mbalimbali. Leo tumefika hatua kubwa:
✅ 50,000+ Installs kwenye Play Store
✅ 12,000+ watumiaji hai kila siku...
TSH Rates
Kila siku TSH Rates inanipa foreign exchange rates za benki za Tanzania. Kama unafanya biashara kimataifa najua unajua umuhimu wa taarifa kama hii—kujua thamani ya fedha kunakupa uwezo...
💭 Naam sio filamu za kuigiza Tena ni maisha Halisi, kwa miaka mingi Teknolojia ya Magari ya kupaa iliweza kugunduliwa toka mwaka 2015 kupitia kwa jamaa mmoja anaitwa Tim Draper.
💭 Kampuni ya Alef...
📍Utangulizi
Katika dunia ya biashara ya kisasa, bidhaa pekee hazitoshi. Unaweza kuwa na bidhaa bora kuliko kila mtu — lakini kama hakuna anayejua unaiuza, huna tofauti na mtu asiyeuza kabisa...
Siku ya leo tar 20 August, Google wamezindua simu zao za Google Pixel kupitia event yao ya Made by Google 2025.
Baadhi ya simu zilizozinduliwa ni Pixel 10, Pixel 10 Pro, Pixel 10 Pro XL, na...
Hydrogen Atom: Schrödinger
Equation and Quantum Numbers
Selection Rules state that:
“Allowed” transitions between energy levels
occur between states whose value of differ by one: ∆L= +1 and...
Kawaida kampuni ya Xiaomi huachia flagship mbili mwisho wa mwaka huko China lakini mwaka huu ni tofauti, wataachia flagship tatu
Kutakuwa na Xiaomi 16, 16 Pro na 16 Pro Max, yani kama iPhone...
Nasikia ety Kuna gb Whatsapp iliyohakiwa, na huwa inakuwaga nzuri kweli, yaani haisumbui kama zingine
Naomba ufafanuzi tafadhali wakuu, na kama uko nayo nisaidie plzzz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.