Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kamusi ya Kiingereza kwa kiswahili inapatikana play store. Inaonesha pia namna ya kutamka maneno https://play.google.com/store/apps/details?id=tz.co.wadau.dictionary Sent using Jamii Forums...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
WhatsApp API ni Application Programming Interface ya WhatsApp, ambayo inayotumika kuunganisha WhatsApp na mifumo mingine ya biashara, kama vile chatbot, CRM (Customer Relationship Management...
1 Reactions
2 Replies
450 Views
Katika miezi ya karibuni, Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua hatua za kusitisha au kudhibiti upatikanaji wa baadhi ya mitandao ya kijamii kama Telegram na X (zamani Twitter) hususan nyakati...
1 Reactions
4 Replies
643 Views
https://youtu.be/9rYniFAxL0M Inasikitisha sana, NOKIA nini kimemsibu.
0 Reactions
0 Replies
181 Views
Yo, wadau wa tech! Social media imekuwa kama nguvu kubwa kwa ukuaji wa tech ecosystem hapa Tanzania, na leo tunaangalia jinsi platforms kama JamiiForums, X, Instagram, LinkedIn, WhatsApp, YouTube...
0 Reactions
1 Replies
511 Views
Program ya Bitchat ni app ambayo imetengenezwa na aliyekua muanzilishi wa mtandao wa Twitter Jack Dorsey Sasa inapatikana kwa watumiaji wa iphone. Program hiyo ya Bitchat inafanya kazi kupitia...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Anaitwa Jack Dorsey muanzilishi wa mtandao wa Twitter (kwa Sasa unaitwa X) amekua kimya kwa muda mrefu baada ya kuuza app yake kwa Tajiri Elon musk hatimaye amerudi Tena bhana. 💭 Amekuja na...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Jinsi ya Ku-Automate Biashara Yako ya Mtandaoni ili Upate Mauzo Bila Kua Mtumwa wa Simu Kila Siku Utangulizi Karibu kwenye zama mpya za biashara za mtandaoni, ambapo teknolojia inaweza kufanya...
3 Reactions
3 Replies
838 Views
A. Hakutakuwa na updates za Usalama (Security updates) – Virusi vipya na mbinu mpya za mashambulizi zitaweza kupenya kwenye mfumo wa Windows 10, ingawa antivirus kama windows defender itaendelea...
2 Reactions
3 Replies
364 Views
Miaka miwili sio safari ndefu sana, lakini kwa sisi SmartBusiness imekuwa kama karne nzima ya mafunzo, uzoefu na changamoto.. Tulianza kama ndoto kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati Africa...
3 Reactions
4 Replies
350 Views
Wakuu nimekuwa mtumiaji wa hii mifumo miwili inayobeba devices nyingi duniani kwa maana ya Ios na Android kwa muda mrefu sasa! Nilichokuja kugundua hawa jamaa wa ios walitumia akili nyingi sana...
5 Reactions
17 Replies
691 Views
Hapo katika dishi la c band hilo kubwa ni uelekeo wa Azerspsce degree 45 e hapo unapata Clouds tv, Star tv, Channel ten, tv E, Mwangaza na Wasafi tv bila malipo kwa mwezi. Hilo dishi la kushoto...
9 Reactions
367 Replies
69K Views
Kuna mambo kadhaa katika activities za WhatsApp yanayoweza kufuatiliwa (tracked) hata kama kuna usimbaji fiche wa mwisho-hadi-mwisho (end-to-end encryption), hasa kupitia ukusanyaji wa data-mama...
4 Reactions
6 Replies
650 Views
Kuna mjadala unaendelea kuhusu nani ni Baba wa Fizikia ya Sasa au ya Leo "Father of Modern Physics" Wengine wanasema Baba (Muasisi) wa Physics ya leo ni Galileo kutokana na kuitoa Dunia kwenye...
4 Reactions
6 Replies
369 Views
Ni VPN gani naweza tumia kwenye desktop computer?
6 Reactions
40 Replies
1K Views
Hapo mwanzo, iPhone zilikua na bei ya kawaida tu. Ila sahivi.
0 Reactions
1 Replies
260 Views
Kwenu wanajamvi. Naombeni msaada wa app ya mpira uefa nzuri. Nilizo nazo zinazingua.
0 Reactions
11 Replies
572 Views
Ivii Umewai kujiuliza Internet Shutdown Inavyofanya Kazi Yaani kujiuliza Kwanini ghafla unakuta WhatsApp, Insta au net nzima Imekata Internet Shutdowns ni moja ya silaha ya serikali nyingi za...
2 Reactions
6 Replies
459 Views
Wataalam hii inatatulika vipi Wakuu, nilikua Dubai last week kikazi nikakutana na hii simu nikainunua ambayo ni oppo reno 12 Kipengele inagoma kujisajili whatssap inaniambia "you need official...
7 Reactions
13 Replies
586 Views
Back
Top Bottom