Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ndg zangu wapendwa kumekuwepo na malalamiko mengi sana kuhusiana na wizi katika zap account na m-pesa. Katika utafiti wangu usio rasmi nimegundua kwamba kuna makosa yanayo fanywa na wamiliki...
2 Reactions
20 Replies
13K Views
wakubwa naleta mezani matatizo mawili,lakwanza komputa nimeinstal antivirus ikascan baada yamuda ikarestart halafu inaonyesha blue screen haina chochote,pili nina simu yangu nadhani virus wameila...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
hili tatizo la kopmyuta kuwa kama kuna vitu kwa ndani vinakwaruza ama kukoroma ni nini hasa? nilishasikia sijui ni RAM imechoka vile au nilisikia vibaya? na ufumbuzi wake ili isikorome tena ni...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
I came across this new e.a website EA Combined-East Africa is Talking - Powered by CO.CC What do you think about it? Nimeipenda!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Quote/Source: Brandon Griggs, CNN, June 01, 2011 When it comes to radiation levels emitted by cell phones, all phone models aren't created equal. Cell phone users -- a group that, these...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
NIMEIBIWA LAPTOP, NA MORDEM YA AIRTEL. JE KUNA PROGRAM YOYOTE AMBAYO INAWEZA KUTUMIKA ILI KUJUA MAHALI ILIPO AU INAPOTUMIKA.... NINA IMEI... YAKE PAMOJA NA MORDEM.:confused2:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina nokia pc suit,ila sasa files naeza transfer ila net yagma,inanambia no 4nes found,pia nina bluetooth ambayo hata visibility haionesh yn!watc da prblm?
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Wakuu habarini za asubuh? Jaman nimehaingaika sana kutafuta samsung pc studio inayosupport kwa window 7 msaada kwa aliye nayo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna wakati unaweza kufikiria unaibiwa na mtoa huduma ya internet kwakuwa spidi ya internet yako inakuwa taratibu mno,wengine wamediriki hata kwenda kwa mafundi na kulalamika kuwa kompyuta...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam wakuu wa jf,mimi ni mmja kati ya wadau wa graphics hapa jf,na nina blog yangu niliyoianzisha hivi karibuni kwa ajili ya kufanya designs za logo,banners na kazi nyingine za graphics kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sisi bado tunahangaika na Kilimo Kwanza! United Nations Report Declares Internet Access a Human Right By Jenny Wilson on June 7, 2011 La Rue...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hellow JF!! Umeshajiuliza kwa nini NOKIA hawajaruhusu uwezo wa kucharge simu zao kwa USB cable?!! LOh...Ukiwauliza wao wanasema kuwa ni kuwa Hawaamini Computer,na voltage zaweza change...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
.wysiwyg { BACKGROUND-COLOR: #f3f7f9 } BODY.wysiwyg { PADDING-BOTTOM: 2px; MARGIN: 0px; PADDING-LEFT: 2px; PADDING-RIGHT: 2px; PADDING-TOP: 2px } .wysiwyg HR.previewbreak { BORDER-BOTTOM...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salute. Nili google AVG free antivirus na Avast nikapata lakini nilipokuwa na download baada ya kudownload AVG ikawa inadownload Cnet. Sijafaham kwa nini ilikuwa inadownload Cnet na nafanyaje ili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wanateknolojia, Ni hivi nimehangaika mpaka nimefiakia hapa lakini baada kuziupload file zangu ziweze kutambuana na database,niliitumia index.php hii hapo chini ambayo nimepewa na...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Guyz, anybody who can asssit me to dowload this Soap Opera Second Chance which was previously shown on ITV and Currently shown on Capital television
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Type: Huawei E153u-2 IMEI:352374047571628 S/N; BAA5TA113100152 THANX in advance
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuuliza nina ile blod band ya TTCL.Kuna simu na modem hapo hapo.Nauliza inaweza kuchakachulika?kama inawezekana naombeni msaada jamani.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Enyi wadau wa sub-forum hii ya technology ni vizuri tukawa tunajulishana kama solutions mbalimbali zilizotolewa na wadau humu zimesaidia kutatua matatizo husika. Kwa mfano kama ulikuwa na tatizo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…