SHAROBALO
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 771
- 349
Hellow JF!!
Umeshajiuliza kwa nini NOKIA hawajaruhusu uwezo wa kucharge simu zao kwa USB cable?!!
LOh...Ukiwauliza wao wanasema kuwa ni kuwa Hawaamini Computer,na voltage zaweza change!!
Haha ha thats childish..Simu zote duniani zina charge kwa usb kasoro wao. Unajua sababu yao kuu ni Biashara, wanataka waendelee na mauzo ya Chargers zao,sababu kila mtu akiwa na USB cable kile kiwanda cha NOKIA CHARGERS kitafungwa.
Haya jinsi ya kutengeneza NOKIA USB CABLE::
NOTE:: jana nimepima volt zinazotoka kwenye normal charger ya nokia nikaona ni 5 v. ni kapima volt zinazotoka kwenye normal computer na laptop yangu nikaona ni zile zile 5 v.
nikagungua kuwa unaweza charge nokia au simu yoyote duniani kwa usb port
Mahitaji::
-Nokia charger ambayo huitumii(hapa tutakata waya tu)
-Usb cable ambayo huitumii(pia tutakata waya)
http://www.phreemms.com/usb/whatyouneed.jpg
HATUA KWA HATUA
1)Kata waya wa usb kutoa kile kichwa kibaki kile cha kuchomeka tu kwenye usb port namuna hii
http://www.phreemms.com/usb/splicedusb.jpg
2)Kata charger ya nokia ubaki na kile kipini cha kuchomeka kwenye simu tu.
3)Sasa unganisha waya za kwenye usb na za pini ya charger,namna hii
http://www.phreemms.com/usb/joinwires.jpg
(hakikisha unaunganisha mwekundu kwa mwekundu na mweusi kwa mweusi. kama hazina rangi hizi basi hakikisha unaunganisha waya zinazo fanana tu. kama huwezi ni vizuri kumuona mtaalamu)
baada ya hapo chomeka kwenye simu na utaona inacharge...
KAMA HUNA UHAKIKA NA UNACHOFANYA BORA UMTAFUTE MTU ANAYEJUA UMEME AKUUNGIE AU FUNDI YOYOTE ATAKUUNGIA)
Cheers baada ya hapo unaitumia ukiwa ofisini hata nyumbani ni rahisi na easy kuliko kutembea na charger muda wote!!!!
Enjoy guys.
Umeshajiuliza kwa nini NOKIA hawajaruhusu uwezo wa kucharge simu zao kwa USB cable?!!
LOh...Ukiwauliza wao wanasema kuwa ni kuwa Hawaamini Computer,na voltage zaweza change!!
Haha ha thats childish..Simu zote duniani zina charge kwa usb kasoro wao. Unajua sababu yao kuu ni Biashara, wanataka waendelee na mauzo ya Chargers zao,sababu kila mtu akiwa na USB cable kile kiwanda cha NOKIA CHARGERS kitafungwa.
Haya jinsi ya kutengeneza NOKIA USB CABLE::
NOTE:: jana nimepima volt zinazotoka kwenye normal charger ya nokia nikaona ni 5 v. ni kapima volt zinazotoka kwenye normal computer na laptop yangu nikaona ni zile zile 5 v.
nikagungua kuwa unaweza charge nokia au simu yoyote duniani kwa usb port
Mahitaji::
-Nokia charger ambayo huitumii(hapa tutakata waya tu)
-Usb cable ambayo huitumii(pia tutakata waya)
http://www.phreemms.com/usb/whatyouneed.jpg
HATUA KWA HATUA
1)Kata waya wa usb kutoa kile kichwa kibaki kile cha kuchomeka tu kwenye usb port namuna hii
http://www.phreemms.com/usb/splicedusb.jpg
2)Kata charger ya nokia ubaki na kile kipini cha kuchomeka kwenye simu tu.
3)Sasa unganisha waya za kwenye usb na za pini ya charger,namna hii
http://www.phreemms.com/usb/joinwires.jpg
(hakikisha unaunganisha mwekundu kwa mwekundu na mweusi kwa mweusi. kama hazina rangi hizi basi hakikisha unaunganisha waya zinazo fanana tu. kama huwezi ni vizuri kumuona mtaalamu)
baada ya hapo chomeka kwenye simu na utaona inacharge...
KAMA HUNA UHAKIKA NA UNACHOFANYA BORA UMTAFUTE MTU ANAYEJUA UMEME AKUUNGIE AU FUNDI YOYOTE ATAKUUNGIA)
Cheers baada ya hapo unaitumia ukiwa ofisini hata nyumbani ni rahisi na easy kuliko kutembea na charger muda wote!!!!
Enjoy guys.