Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,756
hili tatizo la kopmyuta kuwa kama kuna vitu kwa ndani vinakwaruza ama kukoroma ni nini hasa? nilishasikia sijui ni RAM imechoka vile au nilisikia vibaya? na ufumbuzi wake ili isikorome tena ni nini enyi wataalam