kompyuta kukoroma

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,877
2,756
hili tatizo la kopmyuta kuwa kama kuna vitu kwa ndani vinakwaruza ama kukoroma ni nini hasa? nilishasikia sijui ni RAM imechoka vile au nilisikia vibaya? na ufumbuzi wake ili isikorome tena ni nini enyi wataalam
 
hili tatizo la kopmyuta kuwa kama kuna vitu kwa ndani vinakwaruza ama kukoroma ni nini hasa? nilishasikia sijui ni RAM imechoka vile au nilisikia vibaya? na ufumbuzi wake ili isikorome tena ni nini enyi wataalam
Peleka kwa fundi mkuu, inawezekana tatizo ni feni (cooling system).
 
Inafanya kazi kama kawaida lakini inatoa hizo kelele au ukiwasha inatoa kelele na hai-boot?
 
hili tatizo la kopmyuta kuwa kama kuna vitu kwa ndani vinakwaruza ama kukoroma ni nini hasa? nilishasikia sijui ni RAM imechoka vile au nilisikia vibaya? na ufumbuzi wake ili isikorome tena ni nini enyi wataalam

Kukorma dawa ni Aor Blwing kama kukoroma chanzo chake ni feni

Otherwise mikoromo mingine chanzo chake inaweza kuwa ni cylinder plate iliyomo ndani ya HDD

Nadhni ni fan na HDD ndio vifaa vikuu vikuu viwili vinavyofanya rotation na vinaweza kutoa kelele na na si RAM.

So tafuta mtu mwenye air blower akusaidie
 
HILO TATIZO LITAKUWA NI FENI (COOLING SYSTEM) AMBALO SOMETIMES VITU HUANGUKIA HUMO AMA KULEGEA NA KUSABABISHA KUGONGANA NA FENI!FUNGUA NDANI NA UCHEKI FENI LIMEKAAJE MKUU.TOA NA MAVUMBI PIA.:smiling:
 
Asanteni wakuu kwa ushauri. Inafanya kaz kama kawaida sema ndo hivyo inakoroma, ila si kupitiliza. Ni laptop. Tena wakati inakoroma kuna kitaa kimekaa muundo wa betri nacho huwaka kulingana na kukoroma.
 
Kukorma dawa ni Aor Blwing kama kukoroma chanzo chake ni feni

Otherwise mikoromo mingine chanzo chake inaweza kuwa ni cylinder plate iliyomo ndani ya HDD

Nadhni ni fan na HDD ndio vifaa vikuu vikuu viwili vinavyofanya rotation na vinaweza kutoa kelele na na si RAM.

So tafuta mtu mwenye air blower akusaidie

hebu nipe ufafanuzi zaidi hapa kwenye air blower mkuu. Au kama unamfahamu mtu nielekeze hapo
 
ni mashine ya kupulizia vumbi ndani ya compyuta.inasaidia sana hiyo.
poa mkuu. pia naona hapa wakati inakoroma kuna kipicha cha cylinder hapa kwenye keyboard kinablink kuendana na kukoroma kwenyewe
 
mh!!
FANYA SERVICE KAMA SERVICE YA GARI VILE!! Hata gari usipo peleka service utaanza kusikia misauti ya ajabu ajabu

ok fanya hivi:

-Ifungue computer yako,
-tafuta blower! au kama hauna tafuta Brush ya kupakia Rangi
- toa kila kifaa ndani ya komputa na anza kukifuta vumbi kwa kutumia brush
-usitumie kitambaa sababu unaweza tingisha vi transistors
-Mortherboard i brush kama kwa brush
-toa feni la processor na ulifulize vumbi pia waweza tumia brush
-Power suply ipurize au igonge gonge chini taratibu usije haribu itatoa vumbi jingi tu
-ukishaona kila kitu kipo safi rudishia kama mwanzo

(njia hizi zote ni za kufanya home tena bila kuhitaji mtaalamu,tena bila kutumia mashine ya kupulizia)

Enjoy bro!!
 
Asanteni wakuu kwa ushauri. Inafanya kaz kama kawaida sema ndo hivyo inakoroma, ila si kupitiliza. Ni laptop. Tena wakati inakoroma kuna kitaa kimekaa muundo wa betri nacho huwaka kulingana na kukoroma.


Kwa maelezo yako ni dhahiri hdd inashida na muda sio mrefu itaharibika (corrupt) cha kufanya backup data zako na tafuta hdd nyingine.... hiyo taa inayowaka inakuonyesha activity ya hdd, kuwaka taa ni sawa ila haitakiwi ingurume
 
Inawezekana HDD ina matatizo kulingana na maelezo yako. Kwani computer yako ina muda gani?
Pia angalia kwenye CD/DVD Drive kama kuna CD,kama ipo itoe then check hiyo noise kama bado ipo.
 
hili tatizo la kopmyuta kuwa kama kuna vitu kwa ndani vinakwaruza ama kukoroma ni nini hasa? nilishasikia sijui ni RAM imechoka vile au nilisikia vibaya? na ufumbuzi wake ili isikorome tena ni nini enyi wataalam

usiogopeee ni rahisi sanaaaaa!! utakuwa umebonyeza kile kitufe cha shati dauni kwa nguvu...Sipiyu inatoa mlio au sikirini imekuwa ya buluuu!!!
 
kwa mara nyingine tena wadau asanteni kwa michango. Nitaifanyia kazi soon
 
Back
Top Bottom