Ndugu wanajamvi naombeni msaada jinsi ya kuondoa IT restrictions kwenye blackberry internet services....nimegoogle kila kona ila inashindwa kufanya kwangu....msaada tafadhali...
Jamani wanaJF wote hamjambo? Ninalileta kwenu hili msaidie kama linawezekana.Hivi ktk simu zetu za mkononi hakuna uwezekano wa ku_divert (kuchakachua) maongezi kati ya mtu na mtu ukaweza...
nimeamua kuomba msaada nataka kufungua website hii earthjournalism.net lakini kwenye computer yangu kila nikijaribu inasema the website may be temporariry down inaleta ile page ya black and white...
While it is true that there has been substantial drop in telephony charges,the goings on happenings in data arena are worrying to say the least.Data count(kB) as reported my service provider has...
Heshima mbele wakuu,
Kwenu TBC na Mkurugenzi TBC.
Kwanza kabisa, mimi Radio Producer nawapa pole kwa majukumu mengi na magumu mnayoyapitia katika suala zima la kuifanya TBc isonge mbele...
je kuna uwezekano wakuweka(install) microsoft mbili kwenye laptop na zikafanya kazi?mfano 2003 na 2007?
wadau hebu nipe akili hapo na pia nikiidownload italeta shida?manake nina 2003 nataka...
WanaJF, heshima kwenu.
Naomba msaada namna ya kufungua simu aina ya vodafone 735 ili iweze kutumika na mitandao yote.
Kwa sasa inatumika na vodacom pekee.
Natanguliza shukurani.
How to Recover Hacked Email Accounts?
It can be a real nightmare if someone hacks and takes control of your email account as it may contain confidential information like bank logins, credit card...
How Windows Product Activation (WPA) Works?
Windows Product Activation or WPA is a license validation procedure introduced by Microsoft Corporation in all versions of its Windows operating...
How to Detect Anonymous IP Addresses
As the fraudsters are now becoming more sophisticated in bypassing the Geo-location controls by using proxies (Anonymous IPs) to spoof their IP address, it has...
jamani naombeni msaada
tumemlipa mtu atengeneze website akamalizia lakini tunataka tubadilishe addres
tukamwomba akakataa alitaka hela zaidi,
amenipa user name na password naomba msaada how to log...
wanajamii habarini ya majukum? naimani kila mmoja kwa nafasi yake yuko powa kabisa na tuko tayari kuachia vitanda na kujiandaa kwenda kwenye majukum ya kujenga taifa ambalo halijengeki, ndugu...
HELLO GUYS!! information for dearest students, or anyone who aspires to new challenges in life.......
I AM RELATIVELY NEW AT THIS FORUM AND THE MAIN REASON I AM HERE IS TO ENLIGHT SOME PEOPLE...
jamani napa tatizo nkifungua baadhi ya post naletewa msg hii wakati nipo registered :-
LOOOK, you do not have permission to access this page. This could be due to one of several reasons:
Your...
JF,
nina photocopier yangu kubwa imageRUNNER ADV 6055, sasa ine waka kisha nikibonhyeza button ya copy (kwenye lcd screen ) inanipa error code: E000197-0006, nay idea what does this mean...
Microsoft must pay copyright cash
The US Supreme Court has ruled that Microsoft must pay a 290 million dollar (£178m) judgment awarded to a small Canadian software company for infringing on one...
Salaam ama baada ya salaam wadau wote wa jf, leo nina tatizo moja ambalo nahitaji sana msaada wenu, ni kwamba nimefanikiwa kudownload some of the iphone apps kwenye itune, sasa tatizo linakuja...