Umeisikia Hii Mikoa kumi kuwekewa mfumo mawasiliano ya inteneti pengine itakuwa mkombozi
KAMPUNI ya Six Telecoms Data, imezindua mpango wa kusambaza mfumo mpya wa mawasialino ya inteneti katika...
I just Upgraded My Froyo Ideos .. En its Now running Ginger 2.3.5 oltho there some bugs .. but it runs smoothl ..wel I'm gona get bak with the trick .. its kinda risk coz u mite break tua phon on...
Wana Jf Msaada wenu pls, nitawezaje ku copy contactz zangu katika blackerry, ziko ndani ya phone book (natumia BB Curve)
ziende kwenye computer?
Natanguliza shukrani..
Wadau naomba msaada wa kujua kudownload Drivers and Software nilinunua TV card aina ya Light wave (USB TV/AV COMBO with FM) cd imepotea niliformat PC yangu sasa nahitaji kuinstal upya .Naombeni...
nina memory ya 2GB imefungwa na password na mi sina hizo password nisaidieni namna ya ku unlock kwani nimeserve vitu muhimu sana natumia nokia 6300.niko tayari hata kwa kulipia
kwa vodacom kufunga proxy wametupa somo kubwa kuwa tusianike mambo yetu hadharani sana maana kuna watu humu wanajifanya hawajui kumbe ni maspai jamani kweli TZ kuna mambo tuwe makini wataalamu
Vp wana JF, nina external harddisk 1TB nimeshindwa kuifanyia setup kwenye window, inaonekana lakini kufunguka mbinde. Nisaidieni kwa hilo, aina ya External ni Goflex
Waadau nimeinstall PES 2012 kwenye laptop yangu imekubali lakini nikiifungua inaload vizuri hadi sehemu ya kucreate avatar inastuck then inatokea dialog box ya windows PES 2012 has stopped...
kwa takiwmu za traffic JF ndio tovutinumbermojakwa tanzania. Lakini lengo la mada hii ni tuambizane kwa kutumia viegezo na sababu zinagenine kitaaalamu nza kawaida
-Ni tovuti na au blog gani...
Wadau, hapa niliko napata internet kwa namna mbili:
Kwanza, ni kupitia Airtel. Kwa line yao inasomeka kwamba napata EDGE lakini actual speed ni kama 15Kbps nikidownload
Pili, ni kupitia Voda. Kwa...
Wakuu mwenye Anti virus naomba anisaidie maana ya kwangu ime expire na nilichogunduwa siku hizi kama hauna Licence ku update online ni mgogoro, au kwa yeyote mwenye mbadala, shida yangu ni Anti...
natumia simu aina ya sony ericsson C902,imegoma gafla kupokea sms ila nikituma inaenda nina kama mwez na hili tatizo,nimefanya master reset bt where!mwenye kujua jins ya kutatua,maana mtu akituma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.