Unataka kufanyiwa na kampuni zenye wataalamu mahiri au mafundi wa mitaani (vishoka)? kama ni kampuni piga +255 715 865 544, yeccotltd@yahoo.com, au fika ofisi zao zilizopo mtaa wa samora, jengo la coronation ghorofa ya pili.
Kama ni mafundi mchundo (vishoka) subiri hapa hapa watakujibu tu mkuu.
USHAURI: Tumia makandarasi waliosajiliwa na Bodi ya usajiri wa Makandarasi kwa shughuli zako za ujenzi, kujiridhisha tembelea Contractors Registration Board(CRB)