Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Wadau naomba kuelimishwa kidogo kuhusu hili,nahitaji computer(laptop) na kutokana na uwezo mdogo,ntaweza kugharamikia Tsh. 300,000/= tu!
Maswali yangu ni je,1.ni laptop za aina gani zinaweza kuwa nzuri?
2.Naweza kupata mpya ama used tu?
Tafadhali kwa yeyote anayejua anisaidie ili nisijepata kimeo.
Maswali yangu ni je,1.ni laptop za aina gani zinaweza kuwa nzuri?
2.Naweza kupata mpya ama used tu?
Tafadhali kwa yeyote anayejua anisaidie ili nisijepata kimeo.