Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Mambo vipi wadau! Naomba mchango wenu kimawazo kuhusu simu yenye camera nzuri kwa ajili ya matumizi ya kupigia picha na video za kupost kwenye page yangu ya biashara ya instagram, tiktok na...
11 Reactions
72 Replies
2K Views
Hivi karibuni Halotel waliansa kuuza rouer zao za 5g. Naamini humu ndani naamini kuna mtu au watu watakuwa washaitumia. Tunaomba mtupe mrejesho kuhusu ufanisi wake Ahsante
6 Reactions
10 Replies
558 Views
Habari za uzima wana JF, Nina changamoto kidogo kwenye kufix Adsense kwenye YouTube Account Yangu, mwenye ujuzi kuhusu hili, Naomba msaada
3 Reactions
3 Replies
179 Views
Naomben msaada hapa wakuu, ninatamani kununua router ambayo portable inaweza kaa hata mfukoni kwa matumizi ambayo ni makubwa kiasi, ni mtandao upi kati ya tigo, halotel, airtel na voda wana mifi...
7 Reactions
46 Replies
2K Views
Napenda ku download movies kwenye Telegram Naomba muongozo kwa anayefahamu tafadhali
3 Reactions
34 Replies
615 Views
Nimempima na kumpa code ndogo tu kama hii function separateLettersAndNumbers(str) { return str.replace(/(\D+)(\d)/g, "$1-$2").replace(/(\d)(?=\D)/g, "$1-"); } nikamuuliza output yake itakuwaje kwa...
3 Reactions
23 Replies
686 Views
Kwa sasa kwenye ulimwengu wa AI gumzo duniani ni Seedance 2.0 Hapa Wachina wa ByteDance ambao ndio wamiliki wa TikTok wamekuja kuweka rekodi ya dunia. Ukibahatika kuziona video za AI...
6 Reactions
38 Replies
1K Views
Wakuu, Nimekuwa nikipata changamoto ya kutambua code ya namba ya simu iliyokupigia au uliyopewa na mtu kwa kuangalia maana zinafanana na kila siku zinakuja mpya. Sasa hii inakua Changamoto kama...
5 Reactions
60 Replies
2K Views
UI ya simu (User Interface) ni muonekano na njia mtu anavyokuwa connected na simu, ikijumuisha unachokiona kwenye screen yako, menus, icons, na animations. Mfano ni One UI ya Samsung, HyperOS ya...
7 Reactions
46 Replies
877 Views
Wakuu salamu. Naombeni msaada namna rahisi ya ku-verify number kwenye YouTube channel kwa sasa, na ni namba ya mtandao gani inakubali kwa haraka? Asanteni.
1 Reactions
3 Replies
215 Views
White hat hackers mpo wapi? Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
13 Reactions
257 Replies
8K Views
Hawa jamaa sijui uwa wanafikiria nini katika muundo wa simu zao . Simu ina camera moja nyuma ila designer anaweka marings matatu ili waonekane kama iPhone macho matatu, na wateja wasiojua...
17 Reactions
34 Replies
1K Views
As of March 25, 2026, Claude AI is experiencing degraded performance across its services, including claude.ai, the API, and console, following recent reports of elevated errors and potential...
0 Reactions
1 Replies
359 Views
Lakini washikaji hawataki kunielewa hapa wananiambia eti nimeacha bunduki nimechukua rungu🥲🥲🥲
22 Reactions
253 Replies
12K Views
Nimeamua kuandika makala hii bbaada ya kuona watu wengi Wanaibiwa , Kupigwa bei kali na kuuziwa simu feki au Bandia. Mpaka wengine wanaogopa kabisa kununua simu used kutoka nje… 1. Hakikisha Iko...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
SIM Swapping Wizi wa Namba ya Simu Bila Kuibiwa Simu Na Jinsi ya Kujilinda Katika dunia ya sasa ya kidigitali, namba yako ya simu imekuwa “kitambulisho” chako mtandaoni. Inatumika kuthibitisha...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wale wote wenye kukutana na kesi za ku edit PDF.. Kuweka Sawa PDF au Document za zamani zionekane vizur na kubadirisha baadhi ya picha na style basi hapa ndo Penyewe, Editing Zote Muulize PDF...
2 Reactions
1 Replies
140 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba ushauri ni friji ipi nzuri ya kununua kati ya hizo nilizotaja hapo juu
1 Reactions
4 Replies
277 Views
Back
Top Bottom