Taasisi yote ya samsungUngetaja Samsung nini? TV,washing machine, simu n.k
Unazingus kinoma kwaninwewe hujaelewa niniUngetaja Samsung nini? TV,washing machine, simu n.k
Haha sijaelewa mkuu au kwa faida ya members tufanye nimeelewa.Unazingus kinoma kwaninwewe hujaelewa nini
A series zipo vizuri sanaA series hutajilaumu. Charge yake inakaa siku mbili.
Unataka Samsung ya shilingi ngapi? Maana Samsung zipo za laki 2 hadi milioni 5. Wewe unataka ya bei ipi?
Pia unataka mpya au used?
Wakuu kama heading inavyosema naomba wenye uzoefu wanipe muongozo.Sitaki bidhaa ya Dubai.
Leta ushuhuda wako pia kwa Samsung hako unayotumia.
Tafuta Samsung Galaxy A35 kwa Hali na mali. Hapo Kariakoo kuna duka nilienda November mwaka Jana, walikuwa wanauza A35 kwa 650K na A34 kwa 550KNina 550k.Nataka mpya
Asante sana.Hii full box?Inatoka Nchi gani?Tafuta Samsung Galaxy A35 kwa Hali na mali. Hapo Kariakoo kuna duka nilienda November mwaka Jana, walikuwa wanauza A35 kwa 650K na A34 kwa 550K
Kama hii June ukienda kutafuta maduka authorized kutafuta kwa nguvu unaweza kupata A35 ya 6GB RAM 128GB ROM. Ina sehemu ya memory card pia. Ukiongeza hela unapata ya 8GB RAM na 256GB
Ni simu nzuri all-rounder
Everything you need, A35 ipo vizuri
- Kamera Kali
- Android 14, One UI 6.1 (4years of major OS updates, 5 years of security patches)
- Processor nzuri inayoendana na bei
- Under display fingerprint scanner
- Kioo kizuri cheusi Super AMOLED with above 1000nits brightness
- Stereo speakers
- SD card slot
- Nice design
- Inatunza Sana chaji
Note na s ndio konki, hizo a kila Mwaka wana leta uchafu tuA series zipo vizuri sana
Hizo a 30 sijui 35 ni za nyuma Sana, tafuta note 10 iko ugwadu kinyama mkuu.Asante sana.Hii full box?Inatoka Nchi gani?
Huku mtaani kuna imani kuwa Samsung A series ni infinix au tecno. Tofauti ni brand.Tafuta Samsung Galaxy A35 kwa Hali na mali. Hapo Kariakoo kuna duka nilienda November mwaka Jana, walikuwa wanauza A35 kwa 650K na A34 kwa 550K
Kama hii June ukienda kutafuta maduka authorized kutafuta kwa nguvu unaweza kupata A35 ya 6GB RAM 128GB ROM. Ina sehemu ya memory card pia. Ukiongeza hela unapata ya 8GB RAM na 256GB
Ni simu nzuri all-rounder
Everything you need, A35 ipo vizuri
- Kamera Kali
- Android 14, One UI 6.1 (4years of major OS updates, 5 years of security patches)
- Processor nzuri inayoendana na bei
- Under display fingerprint scanner
- Kioo kizuri cheusi Super AMOLED with above 1000nits brightness
- Stereo speakers
- SD card slot
- Nice design
- Inatunza Sana chaji
Kulingana na bei yake hizo note na S series nzuri labda hatoweza kufikia.Note na s ndio konki, hizo a kila Mwaka wana leta uchafu tu
Nakubaliana na wewe S na N, ila kwa tungemuacha aende na A series, bajet yake si umeiona? hiyo pesa huku kwa S na N mpya hawezi pata,Note na s ndio konki, hizo a kila Mwaka wana leta uchafu tu