Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu habari? Nataka kupendezesha kasebule kangu, nakosa mdundo mzuri tu sebuleni. Wadau wanashauri ninunue Sound Bar za JBL. Nimefanya ununuzi wa madirishani kwenye baadhi ya maduka yanazouza...
18 Reactions
71 Replies
9K Views
Kampuni ya kutengeneza 'Videogame' ya Electronic Arts (EA), ikiwemo EA Sports, imeuzwa kwa thamani ya dola za Marekani bilioni 55 na kugeuzwa kuwa kampuni ya binafsi. Wanunuzi hao ni pamoja na...
2 Reactions
2 Replies
292 Views
Wakuu habari za boxing day. Mojawapo ya mipango yangu ya 2024 ni kubadilisha na kupendezesha kisebule changu na vifaa vya kisasa vya kielektroniki. Sasa nilikua naomba ushauri ama review ya...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Majibu ya Maswali 14 ya Kompyuta Ambayo Watu Wengi Tanzania Huogopa Kuuliza (Lakini Wanauliza Sana Kimoyomoyo) Kama wewe ni mfanyabiashara mdogo au mwanafunzi, unatumia kompyuta kila siku...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Kwa ambao wameshatumia e sim (embedded sim) what is the new experince. Ni hatua zipi za kufuata kuregister e sim kwa Tanzania
3 Reactions
9 Replies
549 Views
Kama picha zinavoonesha hapo anadai kuonesha ligi zote kubwa ulaya kwa bei nafuu tu matangazo yako facebook. Naomba ufafanunuzi kama hii kitu inawezekana anadai king'amuzi kinaitwa premium hd...
2 Reactions
15 Replies
785 Views
Je, unatumia kifaa cha Android? Je, unatafuta mbadala wa WhatsApp baada ya kuitumia kwa muda mrefu? Ndiyo, inawezekana, ukiwa na Kifaa cha Android iwe Simu, Tablet huna ulazima wa ku download...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
Kampuni ya Tesla, inayojulikana kwa ubunifu katika magari ya umeme na nishati safi, sasa imeingia rasmi kwenye soko la simu za kisasa kwa kuzindua Tesla Pi Max. Simu hii imeundwa kwa teknolojia ya...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Kutoka SIM Card Hadi eSIM Mapambano ya Kidijitali Kuhusu Nani Anayedhibiti Utambulisho Wako Vipii Umewai kujiuliza Je, Tunamiliki Nambari Zetu za Simu, au Nambari Ndizo Zinatumiliki? Katika...
1 Reactions
1 Replies
397 Views
Kumekuwa na maneno mengi kuhu hii IOS 26 leo mimi nika amua kujitoa mwanga nime fanya update up now ipo vizuri napiga simu na pokea sms haina shida zaidi naona simu ime kuwa nyepesi zaidi uki gusa...
2 Reactions
11 Replies
476 Views
kWh (kilowatt-hour), Wh (watt-hours), mAh (milliampere-hour), V (Volts) Unit 1 ya shilingi mia tatu ni sawa na 1000 Wh ( 1 kWh) Tuchukue mfano wa simu ya smartphone yenye betri kubwa ya 4,000...
3 Reactions
9 Replies
593 Views
Naomba msaada wa laptop nzuri kwa ajili ya masomo. Software zinazotumika kwenye kozi husika ni CAD, baada ya kufuatilia Naomba msaada ni laptop ipi infaa kwa 800K hadi 900K mwisho Pia kuna...
5 Reactions
11 Replies
736 Views
Habari wakuu, Kuna uwezekano Picha zinazopigwa na Smartphone hizi za kisasa zikaizidi kiwango kamera ya kawaida? (Sio professional camera) Nimeuliza kwa sababu simu hasa hizi High end zinakuja...
8 Reactions
95 Replies
4K Views
Kompyuta yako si kifaa kinachofanya kazi kimya kabisa. Ndani yake kuna fans, diski zinazozunguka, na sehemu za kielektroniki ambazo kwa kawaida hutoa sauti ndogo. Lakini pale sauti zinapobadilika...
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Wakuu karibuni tuwasaidie huduma za IT SOLUTIONS HUDUMA ZETU NI KAMA ZIFUATATAZO: 1.COMPUTER MAINTENANCE #Software #Hardware 2.COMPUTER ACCESSORIES # SSD 512 GB, 1TB, 2 TB... #RAM 8GB, 16 GB...
1 Reactions
6 Replies
715 Views
Watu Wengi Wananunua MacBook Bila Kujua Mambo Haya 3 Muhimu Wewe Usiwe Mmoja Wao Kwenye ulimwengu wa teknolojia, jina la MacBook limejijengea Heshimaa kubwa. Ni kweli, ni laptop zenye muundo...
9 Reactions
15 Replies
1K Views
Programming tafsiri rahisi ni kutengeneza programu ,kwamba baada ya kufanya programming ndio inapatikana programu ya kompyuta, undani wa kujua programming ni kufahamu sayansi ya kompyuta. LAI ...
3 Reactions
1 Replies
704 Views
Hata sikuwahi kujua facebook inalipa, Nilikuwa naichukulia kama jukwaa la kuangalia picha za marafiki, kuchungulia maisha ya watu na kupoteza muda kwenye memes. 😂 Lakini, Jumamosi iliyopita...
10 Reactions
24 Replies
2K Views
Wana Jamvi, Habarini. Nimekuwa nikijitahidi sana mwaka huu kutafuta fiber ya TTCL ofisini kwangu. Hii ni jambo ambalo nimehangaika nalo sana. Nimefika ofisi zao na wamesema niombeni mtandaoni...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu naomba tujuzane kitu Kuna uzi unatrend sana humu jf wa kuhusu kuset chanel unaitwa Africa satellite sat gear African Satellite World and Sat Gear...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Back
Top Bottom