Habari wakuu.
Nahitaji mtu mwenye blog yenye Adsense iwe kwenye wordpress ya kununua.
Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog.
Napatikana 0692 76 33 06
Shukrani
Mwisho rasmi wa windows 10 ni 14 October 2025 (itaendelea kuwepo kwa matoleo machache maalum)
Vigezo vikuu rasmi vya windows 11 ni
Intel Core 8th Generation
UEFI
TPM 2.0
Pc nyingi sana hapa...
Wakuu,
Nasoma comments na nitashukuru sana kwa ushauri wenu
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA
MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI
CHUO CHA MAFUNZO YA...
Wakubwa shkamooni wadogo habari zenu...
nawaza niongeze printer ili process ya input na output ikamilike, naomba mnijuze ni ipi brand nzuri ya printer kwaajili ya matumizi madogo ya nyumbani.
Kitengo cha huduma za mtandaoni cha Amazon, Amazon Web Services (AWS) kimekumbwa na hitilafu na kusababisha changamoto ya upatikanaji wa huduma kwa makampuni mbambali duniani.
Huduma zilizopata...
Kama uzi unavyojieleza ni kuwa nina ps4 slim yangu mpya ya kutoka china sasa kuna siku nimeamua ni sign in kwenye account yangu ya marekani sasa cha ajabu kila nikisign in inaandika "cannot use...
Ni wazi kuwa matumizi ya mtandao yameminywa sana Tanzania kwa sababu za kisiasa zinazowekwa kwenye mtazamo wa kiusalamaua na kimaadili, tumefikia kipindi mtu anahitaji kutafuta mbinu za kuweza...
Hii PC mwenyewe anasema ghafla tu ilizima.
Nikiwasha inalizimisha kufanya Auto repair. Inakaa hivyo kwa zaidi ya masaa 12.
Nimejaribu kureset, kufanya system restore, kufanya new installation...
Habari zenu wana JF, hivi karibuni nimeshuhudia poromosheni kubwa ya simu za kampuni ya oppo hasa zile za A series, unakuta internal storage 128, RAM 6, Qualcomm and octa core processor, ambapo...
Kamusi ya Kiingereza kwa kiswahili inapatikana play store.
Inaonesha pia namna ya kutamka maneno
https://play.google.com/store/apps/details?id=tz.co.wadau.dictionary
Sent using Jamii Forums...
WhatsApp API ni Application Programming Interface ya WhatsApp, ambayo inayotumika kuunganisha WhatsApp na mifumo mingine ya biashara, kama vile chatbot, CRM (Customer Relationship Management...
Katika miezi ya karibuni, Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua hatua za kusitisha au kudhibiti upatikanaji wa baadhi ya mitandao ya kijamii kama Telegram na X (zamani Twitter) hususan nyakati...
Yo, wadau wa tech! Social media imekuwa kama nguvu kubwa kwa ukuaji wa tech ecosystem hapa Tanzania, na leo tunaangalia jinsi platforms kama JamiiForums, X, Instagram, LinkedIn, WhatsApp, YouTube...
Program ya Bitchat ni app ambayo imetengenezwa na aliyekua muanzilishi wa mtandao wa Twitter Jack Dorsey Sasa inapatikana kwa watumiaji wa iphone.
Program hiyo ya Bitchat inafanya kazi kupitia...
Anaitwa Jack Dorsey muanzilishi wa mtandao wa Twitter (kwa Sasa unaitwa X) amekua kimya kwa muda mrefu baada ya kuuza app yake kwa Tajiri Elon musk hatimaye amerudi Tena bhana.
💭 Amekuja na...
Jinsi ya Ku-Automate Biashara Yako ya Mtandaoni ili Upate Mauzo Bila Kua Mtumwa wa Simu Kila Siku
Utangulizi
Karibu kwenye zama mpya za biashara za mtandaoni, ambapo teknolojia inaweza kufanya...
A. Hakutakuwa na updates za Usalama (Security updates) – Virusi vipya na mbinu mpya za mashambulizi zitaweza kupenya kwenye mfumo wa Windows 10, ingawa antivirus kama windows defender itaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.