Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ni elimu tu Simu ambayo inaweza kukaa chaji siku nzima, ukiwasha vpn chaji inashuka kwa speed kali sana, Ukiendekeza matumizi haya kwa muda mrefu unaua battery Kwa wimbi hili kubwa la matumizi...
4 Reactions
11 Replies
556 Views
Walichokifanya China hii ni zaidi ya Mapinduzi ya Teknolojia kwenye huu Ulimwengu wa Dunia, Kampuni ya kutengeneza Maroboti Toka China XPENG Robotics imeunda roboti mwenye vinasaba vya binadamu...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Habari za kazi Samahani wakuu. Natumia unlimited ya Yas. Lakini speed yake iko chini sana baada ya kurudishwa ila kabla ilikuwa vizuri. Ningependa kujua kwa wengine wanaotumia wanapata experience...
1 Reactions
0 Replies
197 Views
Je ni namnagani ya kuanza biashara ya kuuza bando??
1 Reactions
3 Replies
464 Views
Wakuu aliyewahi Kutana na changamoto kama hii naombeni msaada
1 Reactions
3 Replies
215 Views
Ninazo vpn mbili tofauti lakini toka jana mtandao uliporudi sijafanikiwa ku connect. wenzangu mnatumia vpn gani kuperuzi Instagram, Whatsup na Tiktok?
8 Reactions
35 Replies
1K Views
Naomba nijaribu kueleza matumiz ya vpn kwa uchache sana Vpn haipo kwa ajili ya kuleta mtandao mahala ambapo hakuna mitandao kwa maana ya internet Vpn ni mahususi kwa ajili kuingia kwenye...
5 Reactions
6 Replies
507 Views
Je,course ya computer engineering ina dili nchini au Africa kama ilivyokuwa computer science?
1 Reactions
5 Replies
324 Views
YouTube Niche Analysis: Make Money Online, Finance, and Social Media Tips Here's a breakdown of profitable YouTube sub-niches within Make Money Online, Finance, and Social Media Tips...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
OpenAI imezindua ChatGPT Atlas, browser ya akili mnemba itakayofanya kazi kwa ukaribu na chatbot maarufu ya ChatGPT, suala linalotarajiwa kuleta muelekeo mpya dhidi ya utawala wa Google Chrome...
6 Reactions
8 Replies
570 Views
Habari za muda huu wajuzi wa mambo. Sote tunajua ya kwamba teknolojia ndiyo kichocheo cha ukuaji wa kidijitali. Kwa sasa nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya watumiaji wa intaneti...
2 Reactions
3 Replies
296 Views
Laptop Yako Inapumua Kama viumbe vingine. Laptop yako inahitaji kupumua kama binadamu na viumbe wengine. Inahitaji kuingiza hewa na kutoa hewa ili iweze kufanya kazi vizuri na kudumu kwa muda...
1 Reactions
5 Replies
287 Views
Wajameni hivi ikitokea unawasha simu yako unaona message inasomeka android starting optimizing apps 60 of 60 halafu phone ikitaka kufunguka inarudi tena kuanza mpaka inafikia hizo namba hili...
4 Reactions
12 Replies
538 Views
Kampuni ya Microsoft imezindua kipengele kipya katika programu yake ya Teams kinacholenga kurahisisha ufuatiliaji wa mahali wafanyakazi walipo, hatua ambayo imezua mjadala kuhusu faragha kazini...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu.. Kama unatumia pixel utakubaliana na mimi kuwa hizi simu hazina option ya ku-record call(Due to private rules) Sasa nimekuja kwenu kuomba kujuzwa App nzuri ya ku-record calling kwa hizi pixel
0 Reactions
1 Replies
235 Views
Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako... Mi naanza na mobdro app noma sana Link ya kudownload MOBDRO Charlie mobdro.apk...
56 Reactions
4K Replies
951K Views
Kama sio mchunguzi na mdadisi huwezi kuelewa hizi picha hapa chini mwanzo nilidhani nimepigwa au kioo kibovu maana haiwezekani monitor ya mwaka 2011 Hp ya kushoto iizidi quality monitor ya mwaka...
3 Reactions
9 Replies
576 Views
Kutokana na Mvutano uliopo kati ya Serikali, Watoa Huduma na Wananchi kuhusu Bundles na Shutuma za Wizi inabidi sisi wananchi tuelewe tunataka nini na Wizi ni nini? Issue za Wizi: Kama kuna issue...
8 Reactions
24 Replies
4K Views
Tofauti Kati ya GTX na RTX Na Its MalekoGJ Kama umewahi kununua laptop au desktop yenye graphics card, kuna uwezekano mkubwa umekutana na maneno GTX au RTX kwenye maelezo ya kifaa. Lakini, je...
2 Reactions
0 Replies
267 Views
Wakuu nahitaji muongozo wenu wapi ninapoweza kununua au kuchonga spare part hii ya mashine ya kutengeneza chakula cha kuku cha punje(pellets),nataka disk yenye matundu madogo pungufu ya...
1 Reactions
5 Replies
396 Views
Back
Top Bottom