Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habarini wakuu, Naomba msaada wa Data Recover ambazo kwa Bahati Mbaya nili fomati hivyo taarifa za kwenye Folder and Files zimepotea zote. Hivyo kama kuna namna au kuna Software inaweza...
0 Reactions
4 Replies
913 Views
Wana sayansi Toka chuo Cha Stanford kilichopo Marekani wameleta Sindano yenye uwezo wa kupunguza Matumizi ya kutumia dawa za kisukari Kila siku au Kila baada miezi kadhaa. Mimi sio daktari...
2 Reactions
4 Replies
779 Views
Wadau nimeona mada nyingi zilianzishwa kwenye jukwaa hili zikihusisha google adsense ila wadau walioanzisha mada hizo hawakuongelea kwa upana kuhusu google adsense pamoja na dependencies zake...
20 Reactions
149 Replies
17K Views
wakuu naomba msaada namna ya KUTENGENEZA AUTOMATIC templete ya matokeo ya shule ya msingi....yaani niwe naweka tu majina na matokeo, template yenyewe iwe inanitafutia jumla,wastani, daraja na...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Kampuni ya Nasa inayojihusisha na masuala mbalimbali ya utafiti na safari za Anga(spaces) imepokea signal Toka kwenye chombo kilichoruka umbali mrefu. Jaribio Hilo la Nasa la Deep space Optical...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Jamani jamani jamani mafundi wa Bongo semeni tu sisi hatujui ila tuna copy na ku paste na kuiga Youtube tu na at least kw cm za androids au pc za windows lakini mi mtu inajijuta mafundi tena pc za...
9 Reactions
16 Replies
1K Views
Hellow wanajamvi inshort naomba niende oneway on the point ni kwamba Tv yangu Hisense imeungua nilipeleka kwa mafundi Tv pale Service Center kwa watu wa Hisense wapo pale Kariakoo wakanambia Kibao...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Hope wote mu wazima wa afya. Kama kuna mtu anaeelewa huu mtambo, naomba msaada wa kubadili lugha.
1 Reactions
1 Replies
405 Views
Naomba sana ambaye anaweza kunisaidia vitabu vinavotumika na VETA Kufundishia umeme wa majumbani level ndogo kwenda kubwa.
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Hii inahusu blogger au walio interested na websit au blogs. Swali langu je Mabumbe (blog) anawezaje kupost matangazo ya kaz au tenda mengi hata elfu yanafika kwa wakati mmoja ana wezaje...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Naomba kufahamu hili tatizo linaweza kua kioo chenyewe ndo kibovu au taa zinaanza kuishiwa nguvu
2 Reactions
8 Replies
915 Views
Nimeshindwa kurekodi wakat unaongea na mtu kt simu 2 za google pixel , pixel 4a na pixel 5. Kuna namna ya kufanya ili uweze kurekodi mazungumzo wakat unaongea kwa kutumia hizi simu za google pixel?
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba kujua kama ukiwa na airpods unaweza play fm bila kuweka airphones za waya
2 Reactions
3 Replies
504 Views
Wakuu nahitaji kununua simu brand ya iPhone, kiukweli nimetarget kwenye efficiency ya camera, mana nafanya biashara mtandaoni so nahtaji simu yenye camera nzuri kwa picha na hata video. Kwa wale...
7 Reactions
62 Replies
12K Views
๐— ๐—ถ๐—ฐ๐—ฟ๐—ผ๐˜€๐—ผ๐—ณ๐˜ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—–๐—ผ๐—ฝ๐—ถ๐—น๐—ผ๐˜ Tuko Kwenye ulimwenguni mpya wa kizazi Cha Akili bandia ambao umeleta mapinduzi mengi ya Teknolojia. Microsoft wametambulisha akili bandia yao ya...
2 Reactions
1 Replies
618 Views
Aliyekuwa CEO wa Kampuni ya Open AI ambayo imejikita katika masuala ya akili Bandia Bwana Sam Altman Amekubaki kurudi Tena kuiongoza Kampuni hiyo baada ya kufukuzwa kazi siku chache zilizopita...
3 Reactions
1 Replies
730 Views
Wandugu umofia kwenu. Napenda kufahamu labda mimi sio mtunzaji au nakosea sehemu. Izi racket za kuulia mbu za kuchaji na umeme mbona kila nikinunua hazina maisha marefu, yani ata mwezi hautoboi...
5 Reactions
11 Replies
959 Views
Habar wakuu, mimi ni mgen kidogo kwenye matumiz ya app ya spotify Ninachofaham ni ku search nyimbo na kuiskiliza , mbaya zaidi ninapochagua nyimbo unakuta nikii play ina play nyimbo nyingine...
3 Reactions
7 Replies
932 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ