Habarini wakuu,
Naomba msaada wa Data Recover ambazo kwa Bahati Mbaya nili fomati hivyo taarifa za kwenye Folder and Files zimepotea zote.
Hivyo kama kuna namna au kuna Software inaweza...
Watafiti kutoka chuo Cha Lanzhou University nchini China wamefanikiwa kutengeneza wireless chaji ambayo ni Salama itakayoweza kupandikizwa ndani ya mwili wa binadamu katika Miaka ijayo...
Wana sayansi Toka chuo Cha Stanford kilichopo Marekani wameleta Sindano yenye uwezo wa kupunguza Matumizi ya kutumia dawa za kisukari Kila siku au Kila baada miezi kadhaa.
Mimi sio daktari...
Wadau nimeona mada nyingi zilianzishwa kwenye jukwaa hili zikihusisha google adsense ila wadau walioanzisha mada hizo hawakuongelea kwa upana kuhusu google adsense pamoja na dependencies zake...
wakuu naomba msaada namna ya KUTENGENEZA AUTOMATIC templete ya matokeo ya shule ya msingi....yaani niwe naweka tu majina na matokeo, template yenyewe iwe inanitafutia jumla,wastani, daraja na...
Kampuni ya Nasa inayojihusisha na masuala mbalimbali ya utafiti na safari za Anga(spaces) imepokea signal Toka kwenye chombo kilichoruka umbali mrefu.
Jaribio Hilo la Nasa la Deep space Optical...
Jamani jamani jamani mafundi wa Bongo semeni tu sisi hatujui ila tuna copy na ku paste na kuiga Youtube tu na at least kw cm za androids au pc za windows lakini mi mtu inajijuta mafundi tena pc za...
Hellow wanajamvi inshort naomba niende oneway on the point ni kwamba Tv yangu Hisense imeungua nilipeleka kwa mafundi Tv pale Service Center kwa watu wa Hisense wapo pale Kariakoo wakanambia Kibao...
Hii inahusu blogger au walio interested na websit au blogs.
Swali langu je Mabumbe (blog) anawezaje kupost matangazo ya kaz au tenda mengi hata elfu yanafika kwa wakati mmoja ana wezaje...
Nimeshindwa kurekodi wakat unaongea na mtu kt simu 2 za google pixel , pixel 4a na pixel 5.
Kuna namna ya kufanya ili uweze kurekodi mazungumzo wakat unaongea kwa kutumia hizi simu za google pixel?
Ni stori ya kusisimua iliyogonga vichwa vya habari inaonekana Kama hadithi za kare Babu anamwambia mjukuu wake lakini ni maisha ya uwalisia zinatengenezwa roboti zitakazo fanya maamuzi yenyewe...
Wakuu nahitaji kununua simu brand ya iPhone, kiukweli nimetarget kwenye efficiency ya camera, mana nafanya biashara mtandaoni so nahtaji simu yenye camera nzuri kwa picha na hata video. Kwa wale...
๐ ๐ถ๐ฐ๐ฟ๐ผ๐๐ผ๐ณ๐ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐๐ฎ๐บ๐ฏ๐๐น๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ฎ๐ธ๐ถ๐น๐ถ ๐ฏ๐ฎ๐ป๐ฑ๐ถ๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ผ๐ฝ๐ถ๐น๐ผ๐
Tuko Kwenye ulimwenguni mpya wa kizazi Cha Akili bandia ambao umeleta mapinduzi mengi ya Teknolojia. Microsoft wametambulisha akili bandia yao ya...
Aliyekuwa CEO wa Kampuni ya Open AI ambayo imejikita katika masuala ya akili Bandia Bwana Sam Altman
Amekubaki kurudi Tena kuiongoza Kampuni hiyo baada ya kufukuzwa kazi siku chache zilizopita...
Wandugu umofia kwenu.
Napenda kufahamu labda mimi sio mtunzaji au nakosea sehemu. Izi racket za kuulia mbu za kuchaji na umeme mbona kila nikinunua hazina maisha marefu, yani ata mwezi hautoboi...
Habar wakuu, mimi ni mgen kidogo kwenye matumiz ya app ya spotify
Ninachofaham ni ku search nyimbo na kuiskiliza , mbaya zaidi ninapochagua nyimbo unakuta nikii play ina play nyimbo nyingine...