Gef
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 472
- 401
Hellow wanajamvi inshort naomba niende oneway on the point ni kwamba Tv yangu Hisense imeungua nilipeleka kwa mafundi Tv pale Service Center kwa watu wa Hisense wapo pale Kariakoo wakanambia Kibao (Motherboard imeungua yote) hivyo labda ninunue Kibao kingine na wao kwa bahati m baya hawana hivyo nikamchukua Fundi pale tukakubaliana tukaingia Kariakoo kwa mafundi wengine kutafuta walau kwa wenye nazo hata used.
Tulizunguka almost a whole day madukani na kwa mafundi hatujapata, hivyo imekuja kkwenu waja mnisaidie ambaye anaweza kufanikisha jambo hili either kwa madukani au kwa mafundi.
Tv ni Smart.
Mimi napatikana Jijini Dar es Salaam hapa hapa Jiji la lawama.
Ahsanteni na karibuni
Tulizunguka almost a whole day madukani na kwa mafundi hatujapata, hivyo imekuja kkwenu waja mnisaidie ambaye anaweza kufanikisha jambo hili either kwa madukani au kwa mafundi.
Tv ni Smart.
Mimi napatikana Jijini Dar es Salaam hapa hapa Jiji la lawama.
Ahsanteni na karibuni