Tuna organization yetu ambayo ina deal na mambo ya youths, tulikuja na idea ambayo inahusisha masuala flani ya transaction kupitia simu na hiyo idea tulijaribu ipush kwenye makampuni mbalimbali ya...
Wakuu hii Jf app inasumbua sana kwenye iOS, yani kuclik ili uanze kuitumia inagoma kabisa sijajua ni vile niko nje ya tz ama ni wi-fi ya hapa kwangu, mpaka sasa niende kwa desktop. Kuna mtu...
Ndugu wanajamii,napenda kuuliza nimekuwa nkiona majadiliano ya jinc ya kuitambua cm ambayo inabetr inayotunza chaji mda mrefu hasa kupitia specification za simu husika.Binafs yangu bado sijaelewa...
ni HP 620..nimepitapita maduka hapo posta bei yake ni 150,000/= kwa hiyo kama kuna mtu anafahamu duka ambalo wanauza bei cheap kidogo tafadhali anisaidie....ila nikapacheki
ahsanteni na...
IPIGIE KURA BLOG UIPENDAYO KWENYE SHINDANO LA BLOGS TANZANIA
Ili kushiriki bofya hii link Survey provided by kwiksurveys.com
Hivi ni vipengele utakavyopigia kura
​
The Best...
Wadau nina laptop aina ya LENOVO (ThinkPad) mpya niliitoa hard disk ilinifanye installation baada ya kushindwa kuboot from CD, baada ya kuinstall window na kuirudishia kwenye laptop ina display...
Naomba kujuzwa mawasiliano ya wakala wa bidhaa za sony hapa Tanzania maana nimetafuta pasipo mafanikio au kama kuna mtu anajua bei ya SONY DAV TZ-130 BRAVIA kwa hapa Tanzania anaweza kunisaidia...
Heshima mbele wanajamvi !!
moja kwa moja naenda kwenye hoja.Kuna jamaa yangu ana SONY EXPERIA T katumia kama miezi miwili anataka kuniuzia
kwa 500,000/=
Kwa mwenye uzoefu naomba kujuzwa hii simu...
Naombeni msaada wanajf kwenye hili tatizo langu la hii memory card nnayotaka kuiformat kwenye PC
tatizo lake hadi nataka kuiformat ni kwamba ina data lakini hazionekani ukiifungua unakuta empty...
sasa hivi kuna mambo mengi kwenye ulimwengu wa technology na hasa hizi tv za online kama za apple, google na sasa sony.
ila zote hazijanivutia mpaka leo sony walipotangaza tv yao kidogo...
Poleni na majukumu wakuu. Naombeni kama kuna mwenye ujuzi wa kufungua (unlock) simu ya Huawei "Ascend y300" anisaidie maana inanitesa kweli haikubali line.zingine.zaidi ya Tigo, nikisafiri kwenda...
Wadau naomba msaada wa kupata unlimited internet ili niweze kudownload movies na mafaili mengine makubwa. Hivi sasa natumia bundles za Zantel na Airtel na ninatumia fedha nyingi.
Salaam wakuu,
Katika pita pita zangu nimekutana na hawa jamaa wa Bleeping computers ambao wapo located states kwa kweli wanaforum kubwa sana na mambo yoote kuhusu computer yapo tena yana...
Wadau wa IT.
Tupo katika mchakato wa kutengeneza software application (web based application), itakayowezesha customers wetu kutazama financial reports mbalimbali kama vile Stocks, n.k
Baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.