wakuu akaunti yangu ya facebook imefungiwa ni mwaka sasa sijaweza kuingia,.
Mara ya mwisho kuingia waliniambia kwamba nimesahau password wakasema wataituma kupitia namba yangu ya simu...
Nimedownload kitabu online ila kimefanyiwa encyption za Winzip with password, So ukilifungua hilo file linadai password, ambazo kuzipata mpaka ufanye survery za online ambazo nimehangaika kama...
Habar ya sasa wakuu, heri ya mwaka mpya kwenu. Ninashida na internet service kwa ajili ya tablet yangu ya mtandao wowote ile iwe cheap na yenye speed
Thanx in Advance.
Jaman msaada jinsi ya kuunganisha internet sharing kwenye nokia lumia 620 maana kila nikiunganisha inaandika " internet sharing us unavailable" msaada jamani wana Jf
Dear Friends in JF, I badly need your help!!
I know JF is full of great thinkers.
Mtu kaniletea simu SAMSUNG GALAXY Gio GT S5660M toka Canada.
Ni GSM
Kwa bahati mbaya hii simu iko locked...
Nina shida na webiste developer kwa ajili ya ku-develop website fulani hivi...siongelei simple template yenye pich moja bali complex website yenye functionality na uwezo wa kuhandle data za...
Katika pita pita zangu hapa Arusha. Nimeanza kuziona City Call zinauzwa. Hebu kwa waliowahi kuzitumia watupe pros na cons zake. Kama vile tulivyochambua tecno mobiles.
Thanks in advance
habari waheshimiwa.naomba msaada wenye uzoefu na haya mambo.kuna jamaa yangu alimuona muuzaji ktk site ya Nifahamishe uza na nunua.ana uza mobile phones location hungury ila contacts zake za...
Habari zenu wana-JF
Nikiwa katika mchakato wa kuagiza gari, nimekutana na vitu vifuatavyo ambavyo ningependa ufafanuzi wenu wadau wa JF. Kwa ujumla sijaelewa tofauti kati ya "Motor vehicles with...
Facebook doesnt have a simple way of deleting specific data from ones timeline including old posts, comments and likes that a person would like to have removed from his or her profile, Slates...
Kuna hii nimetumia kwenye php "preg-replace("/[^a-zA-Z0-9\s]/","",)" without "" mwanzo na mwisho lakini nashindwa niongeze character ipi ili enter key ikubali yani mtu akipress enter iende next...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.