Msaada kwa web developers

Brodre

JF-Expert Member
Aug 23, 2012
2,351
1,372
Kuna hii nimetumia kwenye php "preg-replace("/[^a-zA-Z0-9\s]/","",)" without "" mwanzo na mwisho lakini nashindwa niongeze character ipi ili enter key ikubali yani mtu akipress enter iende next line msaada tafdhari
 
Unachouliza na hizo code ni vitu viwili tofauti, hizo ni vailidation za text input, Labda ungeweka code zako hapa tukusaidie kutafuta error.
 
Unachouliza na hizo code ni vitu viwili tofauti, hizo ni vailidation za text input, Labda ungeweka code zako hapa tukusaidie kutafuta error.

Mkuu ambapo hujaelewa wapi nataka kuvalidate text area ninetumia hiyo njia hapo juu ili kuavoid unwanted characters ambazo zinaweza wapa mwanya hackers kuweka codes wanazozifaham wao.
 
Mbona hiyo validation rule haina uhusiano wowote na enter key??au ulikuwa unaulizia nn??
 
Hamna uhusiano wa hiyo php na Enter key kwenye text field. Kama unataka kkumwezesha mtu kuenter multiple lines za text tumia <textarea> (HTML textarea tag) kwenye HTML yako, kwenye textarea ukibonyeza enter ndo unapata new line.

Nimetumia text area mkuu lakini inakubali kuwrite kwenye text area in a next line lakini mtu ambaye ametumiwa uwe ujumbe yeye kwake message inaenda bila kama moja kwa moja bila line break
 
ImageUploadedByJamiiForums1388743085.273523.jpg ImageUploadedByJamiiForums1388743100.989474.jpg
Hiyo ndio nayoongelea unaona tofauti iliyopo kwenye kuandika na kudisplay
 
Kang dav22 Stefano Mtangoo nimeweka picha hapo juu kama mfano ukiona kwennye text area mtu anaingiza vizuri na anabonyeza enter key kuanza new line lakini kwenye display inaonekana kama ni kitu kimoja haziend kwenye next line
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom