Nina shida na webiste developer kwa ajili ya ku-develop website fulani hivi...siongelei simple template yenye pich moja bali complex website yenye functionality na uwezo wa kuhandle data za...
Katika pita pita zangu hapa Arusha. Nimeanza kuziona City Call zinauzwa. Hebu kwa waliowahi kuzitumia watupe pros na cons zake. Kama vile tulivyochambua tecno mobiles.
Thanks in advance
habari waheshimiwa.naomba msaada wenye uzoefu na haya mambo.kuna jamaa yangu alimuona muuzaji ktk site ya Nifahamishe uza na nunua.ana uza mobile phones location hungury ila contacts zake za...
Habari zenu wana-JF
Nikiwa katika mchakato wa kuagiza gari, nimekutana na vitu vifuatavyo ambavyo ningependa ufafanuzi wenu wadau wa JF. Kwa ujumla sijaelewa tofauti kati ya "Motor vehicles with...
Facebook doesnt have a simple way of deleting specific data from ones timeline including old posts, comments and likes that a person would like to have removed from his or her profile, Slates...
Kuna hii nimetumia kwenye php "preg-replace("/[^a-zA-Z0-9\s]/","",)" without "" mwanzo na mwisho lakini nashindwa niongeze character ipi ili enter key ikubali yani mtu akipress enter iende next...
Wakuu, baadaa ya kutafuta sana mtandaoni bila mafanikio mazuri nimeona bora niulize huku... Katika web browsers kuna plugins zinazo wezesha kubadilisha user-agent yani kama Google Chrome, ionekane...
wakuu habari za leo tarehe 1/1/2014 hongereni sana kwa kupewa siku mpya katika mwaka,
baada ya kuitafuta window 7 katika topic zilizopita bila mafanikio sasa naombeni yeyote mwenye mapenzi mema...
Leo nimepokea email kwa mtu nisiyemjua anayeonesha yuko China lkn nikajiuliza mara mbili mbili na nikalinganisha na mwenzetu aliyenunua simu za winejeria thread yake hapa chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.