Kwa gharama yoyote anayeweza kutoa password.

Kwa gharama yoyote anayeweza kutoa password.

Kwetu Ngoreme

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2013
Posts
489
Reaction score
189
Nimedownload kitabu online ila kimefanyiwa encyption za Winzip with password, So ukilifungua hilo file linadai password, ambazo kuzipata mpaka ufanye survery za online ambazo nimehangaika kama mwezi mzima bila mafanikio. Kama kuna mtu yeyote anayeweza kutoa password za Winzip protected file nipo tayari kulipia huduma. Mawasiliano: 0716 731 205
 
Huyo aliyekuuzia ukashusha si ndio akupe password?
Badala ya kutumia gharama "yoyote" kwa nini usinunue tu kipya?
 
Hizo survey hua ni wastage of time hata ujazeje huwezi ivuka!! By the way ni kitabu gan hiko
 
Nimedownload kitabu online ila kimefanyiwa encyption za Winzip with password, So ukilifungua hilo file linadai password, ambazo kuzipata mpaka ufanye survery za online ambazo nimehangaika kama mwezi mzima bila mafanikio. Kama kuna mtu yeyote anayeweza kutoa password za Winzip protected file nipo tayari kulipia huduma. Mawasiliano: 0716 731 205

Wwewe una shilingi ngapi? Nikifanya hiyo kazi chochote utakachokikuta kwenye hilo file lako mimi hakinihusu. Naweza kukufanyia hiyo kazi yako. PM kama bado unahitaji.
 
hicho kitabu kinaitwaje labda naweza kukusaidia ku-download then nikakupa nitajie jina lakitabu na na mwandishi
Nimedownload kitabu online ila kimefanyiwa encyption za Winzip with password, So ukilifungua hilo file linadai password, ambazo kuzipata mpaka ufanye survery za online ambazo nimehangaika kama mwezi mzima bila mafanikio. Kama kuna mtu yeyote anayeweza kutoa password za Winzip protected file nipo tayari kulipia huduma. Mawasiliano: 0716 731 205
 
hicho kitabu kinaitwaje labda naweza kukusaidia ku-download then nikakupa nitajie jina lakitabu na na mwandishi

Strange! That someone can steal for someone else, yet those who steal from us we call them mafisadi!
Its amusing!
 
Kupata kitabu hiki bure siyo rahisi, nilazi ununue. Jaribu kuagiza kupitia Amazon.
 
Back
Top Bottom