Jamani nisaidie namna ya ku-download pdf reader niweke kwenye computer yangu. Najaribu inanileta mara pitia yahoo, facebook etc
Docs nyingi ni pdf hivyo bila hiyo it is useless!
Wana JF naomba msaada PC yangu hapa iki sleep basi hata nikibonyeza mara moja power button haiwaki inataka niizime kwa (hardpowerOffbutton) ndio iwake tena.Tafadhali mwenye idea anisaidie hapa
Habari za wakati huu wakuu?Nimekuja kwa mara nyingine kuomba msaada,nina laptop ya hp,RAM yake ni 2GB,HDD 320GB na processor ni 1GHz AMD.Sasa hivi ina tatizo la kutozima,nikizima kabla...
Habarini wadau. Nataka kununua laptop kwa ajili ya kazi zangu lkn pia iweze kusukuma games nzito mpya kama modern warfare battlefield. Kuna Lenovo thinkpad ina 8gb ram core i5. Kuna mwenye uzoefu...
Naomba msaada humu JF alietumiwa software ya ku decrypt mafile yaliyoharibiwa na .cerber3 tafadhali,baada ya yule wa jana sasa na mimi nimeliwa leo huenda kesho zamu yako.
Sijaelewa hawa jamaa...
I've been see many people nowadays they complain about this ceber3 Ramson ware here are some tips.
Is it possible to decrypt files encrypted by Cerber3 ransomware?
No , at this time it’s not...
habari wakuu.
nina simu ya nokia lumia 521 ambayo imekuwa locked kutumika kwa line za T MOBILE na ningependa kufahamu kama naweza kupata namna ya kuifungua iweze kutumia line zote kwa sababu...
Msaada jamani ;
Nilifungua group language la whatsapp la miziki na kulitangaza vizuri tu likawa maarufu.
Niliweka maadimini kadhaa kulingana na mahitaji lakini kilichonishangaza kuna siku...
Natanguliza shukrani , nilikuwa nahitaji msaada kwa mtu anaeweza kutengeneza sabuni za kuoshea chooni, nilipenda zaidi na mm kujua jins ya kufanya ili niweze kutengeneza pia,
Nimekuwa nikisoma a lot in science , sijawahi kuona mahali mwafrika aliweza kugundua lolote katika dunia ya sayansi. I might be wrong, sijui!!!!
Tufanyeje waafrika?
Angalia attached list
habari ya siku wanajamii,, nina laptop aina ya dell E5400 32-bit operating system,, 2gb ram,,
shida yangu kubwa ni namna gani nitaweza kuweka sim card na kuiwezesha ifanye kazi kwenye hii laptop...
Naomben msaada kwa hili Nina pc Toshiba satellite 2core 4gbRam storage capacity 500gb mwanzon nilikuwa nacheza game ya a ina yoyote lakin Sara fifa 14. Tu linakuwa slow nimejatibu kubadili window...
Mjasiriamali Elon Musk ametangaza mpango wake wa kuunda makao ya binadamu katika sayari ya Mirihi (Mars kwa Kiingereza),ingawa wanaotaka kunufaika watahitajika kulipa pesa nyingi. Tiketi ya...