Habari wadau

Habari wadau

xaidjr

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2016
Posts
392
Reaction score
468
Naomben msaada kwa hili Nina pc Toshiba satellite 2core 4gbRam storage capacity 500gb mwanzon nilikuwa nacheza game ya a ina yoyote lakin Sara fifa 14. Tu linakuwa slow nimejatibu kubadili window wapi nlikuwa na window 10 ilikuwa inacheza poa now baada ya mda likaanza kuleta mapichapicha nkabadili window seven lakin bado linacheza ila sometime linakuwa slow plz mwenye ujuzi kwa hili anisaidie nakuwa bored kwel akat gaming ndo my fantasy.
 
Naomben msaada kwa hili Nina pc Toshiba satellite 2core 4gbRam storage capacity 500gb mwanzon nilikuwa nacheza game ya a ina yoyote lakin Sara fifa 14. Tu linakuwa slow nimejatibu kubadili window wapi nlikuwa na window 10 ilikuwa inacheza poa now baada ya mda likaanza kuleta mapichapicha nkabadili window seven lakin bado linacheza ila sometime linakuwa slow plz mwenye ujuzi kwa hili anisaidie nakuwa bored kwel akat gaming ndo my fantasy.
Ungeacha hiyo hiyo Windows 10 na unge update graphics drivers basi

Ila hata hiyo windows unayotumia fanya ku update graphics drivers zako basi.

Pia chek settings za graphic kweny game lako at least uweke medium au low kama gpu yako kimeo
 
Ungeacha hiyo hiyo Windows 10 na unge update graphics drivers basi

Ila hata hiyo windows unayotumia fanya ku update graphics drivers zako basi.

Pia chek settings za graphic kweny game lako at least uweke medium au low kama gpu yako kimeo
Sasa nimeupdate lakini wapi inanchanganya tuu mkuu
 
Unacheza game kweny setting zipi?
 
Back
Top Bottom