.cerber3 ENCRYPTION METHOD

.cerber3 ENCRYPTION METHOD

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,100
Reaction score
2,394
Naomba msaada humu JF alietumiwa software ya ku decrypt mafile yaliyoharibiwa na .cerber3 tafadhali,baada ya yule wa jana sasa na mimi nimeliwa leo huenda kesho zamu yako.

Sijaelewa hawa jamaa wanauhusiano gani na bitcoin,inakuaje wanataka pesa kwa nguvu kutoka kwa watu aiseee this is not fair at all
 
Hiyo kitu hata ulipie ni kazi Bure tu, tumia anti-ramsonware tool wenda ikafanya kazi
 
Naomba msaada humu JF alietumiwa software ya ku decrypt mafile yaliyoharibiwa na .cerber3 tafadhali,baada ya yule wa jana sasa na mimi nimeliwa leo huenda kesho zamu yako.

Sijaelewa hawa jamaa wanauhusiano gani na bitcoin,inakuaje wanataka pesa kwa nguvu kutoka kwa watu aiseee this is not fair at all

Hivi hamtumii antivirus ya aina yoyote kweli?

Ingekua vema ukasema umedakwa vipi?
Kama kuna software uli install useme ili watu wasijeingia King nao!

kuhusu Bitcoin ndo iwanakuomba utumie sababu ni crypto-currency sio rahisi kupata details za muhusika unlike Bank za kawaida ambako zinakua linked na majina yako na adress yako!

Hivo ni rahisi kupokea pesa haramu kama hizi zinazopatina kwa kufanya hacking!
 
There is no other way than to purchase their code so as to decrypt it and that code is approximately about 450 USD
 
Back
Top Bottom