King'amuzi cha continental raha sana

King'amuzi cha continental raha sana

Realbest

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
812
Reaction score
301
Yan da! king,amuz cha continetal raha sana yaan machanel buree kabsaaa! hulipii chochote
 
kama chanel 22 hv yan raha sana hulipii chochote cyo kma ving'amuzi vingne, alf za tanzania zoote zpo
 
Mimi natumia receiver tofauti na ya continental lakini napata chanel zao zote hao tena bure za bongo zote tena mpaka agape, fire, kwanza, morningstar na za nje nyingi sana zinafika mpaka 70
 
Natumia ungo wa Euromax na receicer iitwayo Wiztech napata napata 22 ndani ya continental na nyongza zinazofika karibu 40 na kitu
 
mkuu unatumia receiver gani hiyo niitafute??
Mimi natumia receiver tofauti na ya continental lakini napata chanel zao zote hao tena bure za bongo zote tena mpaka agape, fire, kwanza, morningstar na za nje nyingi sana zinafika mpaka 70
 
Natumia ungo wa Euromax na receicer iitwayo Wiztech napata napata 22 ndani ya continental na nyongza zinazofika karibu 40 na kitu
hapo unatakiwa upate chanel zaid ya 100 ila dish lako liwe ft3
 
Uko sawa mkuu watu wengine sijui wakoje hawajui kuwa hii ni kwa muda tu

We waache na wengine apa wameanza kutoa na weaknes kabisa za contin hawajui kwamba kuna watu wanafaidika na maneno yao hayo. Kuna muda walikuwa weak tulikuwa tunakula bwelele kabisa wakanyanyua midomo sa hv wameanza tena. Kuna muda tulikuwa tunakula startimes wakaja na makelel umu wakabumosha, nikawaambia wakabisha matokeo yake wanajua. Nikasema wakifunga mvumilie tena au mje mpige kelele tena,na sa hv nishaapa ata utumeje PM sitaji maujanja ya kula raha kwwnye vinyago ivi.
 
Back
Top Bottom