Yeyote mwenye experience na lenovo thinkpad laptops hasa kwenye gaming?

Yeyote mwenye experience na lenovo thinkpad laptops hasa kwenye gaming?

mwanajamii1

Member
Joined
Sep 26, 2010
Posts
15
Reaction score
7
Habarini wadau. Nataka kununua laptop kwa ajili ya kazi zangu lkn pia iweze kusukuma games nzito mpya kama modern warfare battlefield. Kuna Lenovo thinkpad ina 8gb ram core i5. Kuna mwenye uzoefu na hiyo mashine? Na je Nikichukua i5 yenye ram 4gb itanizingua kwenye gaming?
 
Habarini wadau. Nataka kununua laptop kwa ajili ya kazi zangu lkn pia iweze kusukuma games nzito mpya kama modern warfare battlefield. Kuna Lenovo thinkpad ina 8gb ram core i5. Kuna mwenye uzoefu na hiyo mashine? Na je Nikichukua i5 yenye ram 4gb itanizingua kwenye gaming?
Mbona GPU husemi? Unataka battlefield jiandae kuwa na graphic card ,hyo mashine bila card gamin sahau labda kweny low setting...

Tafuta mashine atleast 2gb graphic memory ...ukiwa na 750 unapata mashine mtaan yenye card 2gb
 
thinkpad ni laptop za biashara, zimetengenezwa kwa ajili hio na sio kucheza games.

mimi ninayo thinkpad 4th generation nacheza games nyingi tu lakini low setting ikiwemo zinazohitaji specs kubwa kama gta v.

cha kwanza hapo itabidi tuijue hio i5 ni aina gani nenda my computer halafu right click chagua properties utaiona aina ya hio i5 mfano i5 4200m.

kwenye ram sio issue sababu unaweza kuongeza ram, ila games za kisasa kwenye laptop zisizo na dedicated gpu atleast ram inatakiwa iwe 6gb, ila 8gb ni nzuri zaidi sababu hapo internal gpu itachukua kama 2gb ram hivi na kuiachia system iliobakia
 
Back
Top Bottom