RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,052
- 529
Imeeleza kuwa sim hizo zinatatizo katika mfumo wa injini zake ambalo hisababisha kulipuka au kuungua wakati mwingine kusababisha madhara makubwa kwa watumiaji wake.
Kazi kwenu watumiaji wa Note7
Chanzo BBC DIRA YA DUNIA
Kazi kwenu watumiaji wa Note7
Chanzo BBC DIRA YA DUNIA