Kwanini CDMA device hazitumii SIM Card?

Kwanini CDMA device hazitumii SIM Card?

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,068
Natumia line ya Zantel sasan najiuliza waliona ugumu gani kuweka hiyi sim card? imeandikwa cdma.
Huko cdma kuna kitu gani kipya sana wasiweke line?
Hizo simu za cdma ndo zikoje wakuu? inamaana nazo hazitumii line?

Ttcl nao naskia ni cdma hizo line zao ni kweli zipo na zinaingia kwenye simu? wana huduma za kutuma na kupokea pesa kama wenzao mfano mpesa, tigo pesa n.k?

Msaada plz.
 
Sijakuelewa unapo sema hakuna sim card. Ila kwa ufaham wangu cdma ni teknolojia kama ilivyo GSM. Ili simu iweze kufanya kazi na cdma ni lazima iwe imetengenezwa kuendana na hiyo teknolojia. Simu nyingi zina tumia teknolojia ya GSM. Na simu inakuwa haina tofauti kimuonekano. Sijui kama nimekujibu kama ulivyo hitaj ila natumaini pa kuanzia unaweza pata.
 
Sijakuelewa unapo sema hakuna sim card. Ila kwa ufaham wangu cdma ni teknolojia kama ilivyo GSM. Ili simu iweze kufanya kazi na cdma ni lazima iwe imetengenezwa kuendana na hiyo teknolojia. Simu nyingi zina tumia teknolojia ya GSM. Na simu inakuwa haina tofauti kimuonekano. Sijui kama nimekujibu kama ulivyo hitaj ila natumaini pa kuanzia unaweza pata.
Kuna modem hazina line
 
Back
Top Bottom