Masada kwa wajuzi wa iPhone (4s)

Masada kwa wajuzi wa iPhone (4s)

Justine_Dannie

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
1,962
Reaction score
1,622
Habarini jukwaani,
Kabla sijaenda kwenye tatizo naomba kukiri kwamba Mimi ni mshamba wa Apple devices..Ila ukali wangu wote ni kwenye device zitumiazo Android OS.
Kwa kama mwezi Sasa natumia iPhone 4s Na nimeipenda sana kwa kuanzia kabla sijaenda up level.
TATIZO
nikiingia iTune store nakutana Na Ujumbe ulisema "open the iTunes U App" nikifungua nakutana Na "Cannot Connect to iTunes Store"
Shida ndipo ilipo maana nimejaribu kusoma Articles mbalimbali mtandaoni Na nimejaribu kufuata maelekezo yake lkn bado nimeambulia patupu.
Sasa naombeni msaada jamani kwa anaejua la kufanya ili nipate ku_connect iTunes stores.
ASANTENI.
 
Tanzania iTune Store yake inagoma. Lakini pia hakuna umuhimu wa iTune Store mpaka uwe na Apple Pay, ambayo bado hakuna umuhimu.

Kama una computer na unataka iTune store, tumia program ya iTune.

iTune store ni kama unataka kununua miziki, albums, vitabu, movies, Series n.k. Instead, tumia iTune App kuiweka miziki uliyonayo, vitabu, documents, movies na series.

iTune U ni kwa wanafunzi wa vyuo kuchukua Lecturers, Course outlines, videos n.k kuhusiana na Account mbalimbali za vyuo na courses ulizojisajili. iTune U ni free.
 
Tanzania iTune Store yake inagoma. Lakini pia hakuna umuhimu wa iTune Store mpaka uwe na Apple Pay, ambayo bado hakuna umuhimu.

Kama una computer na unataka iTune store, tumia program ya iTune.
Haswa iTunes hua inafanya nn!?
Naomba unijuze
 
Tafuta usb wire ya apple then uwe na pc, tafuta latest itune app install kwa pc then utachomeka hiyo iphone kwa pc na kurun itune kwenye pc yako
 
Back
Top Bottom