Wasailiwa walipata neno kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa ndugu Richard Kasesela. Akisema Usije ukatoa hata senti tano yako kwa nafasi hizi za JKT.
Sergent mmoja ambaye hakujitambulisha jina...
Habari zenu!
Kama kichwa cha habari kinavyosema, ila sio kwa wote ila ni asilimia kadhaa, hawa ndugu zetu yaani masekretari na mareceptionist WANAWAKE wengi wana roho ya korosho kwa wale...
Nani anayejua kuhusu ajira kwenye daraja la kigamboni? tulimsikia muheshimiwa raisi anasema wafanyakazi zaidi ya 300 watakuwepo kwenye daraja hili.. wahusika nasikia TANROADS na NSSF kwa anayejua...
Huwa najiuliza hili swala, leo naomba msaada wenu wakuu, hivi ikitolewa kazi na kigezo kikawa ni diploma je mwenye degree au masters anaweza kuiomba? Yaani kigezo cha elimu wewe muombaji ukawa...
VACANCY ANNOUNCEMENT AT SADC - TANZANIANS , APRIL 2016
Background
The Southern African Development Community (SADC) currently has fifteen Member States with a population of approximately 250...
Katika matembezi yangu ya hapa na pale leo nikaona siyo mbaya niperuzi kidogo kwenye web ya bodi ya pamba, nimeperuzi weee mwishoni kabisa nikaingia kwenye uchochoro wa humo TCB unaitwa vacancy...
Heshima kwenu wote.
Kijana wa kiume,umri miaka 25,elimu kidato cha nne na ujuzi wa ufundi umeme wa nyumbani.
Anatafuta kazi yeyote halali iwe kwenye duka,soko,bustani,mgahawani nk
Ni kijana...
habarini wakuu!
Nilitoa tangazo hapa kuwa natafuta kazi yoyote ile iliyo halali elimu yangu Bachelor of science in food science and technology. Lakini mpaka sasa sijapata kazi yoyote ya...
ni kampuni gani au blog gani ambayo inalipa kwa mpesa, tigopesa au airtel money endapo utashare habari zao kwenye akaubti yako facebook au kwenye blog yako?. nimeuliza maana nasikia makampuni...
Habari ndugu wanajamv!
Naomba msaada toka kwenu. Nimeitwa kwenye usahili na shirika fulani kanda ya kaskazini. Position ni Gender Officer!
Kwa waliowahi fanya usahili ya position ya Gender...
Kama vile Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost, t shert, shati, tyt, nk bei ni sh 8000 nakuendelea tunapatikana karume piga namba 0712288700
HI! THIS IS TO INFORM YOU THAT THE INTERVIEW DATE HAS BEEN POSTPONED TILL FURTHUR NOTICE DUE TO SOME UNAVOIDABLE CIRCUMSTANCES! WE'LL NOTIFY YOU-EXPATLINKERS
wakuu ivi mtu tayari Una degree law na pia umefaulu law school in short wakili..
je ni bora wakili aliyejiunga na jkt au kuwa wakili kitaa.... ipi inalipa..?
na je itachukua mda gani kujiunga...
wasalaaam!
ndugu wana Jf mm nikijana wa Kiume nimemaliza Chuo june mwaka jana Mpka sasa Nasubiri Post za Ualimu 2016, vilevile nimeomba Nafasi ya JKT.
Najiuliza wapi niende UALIMU au JKT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.