Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,259
- 13,549
Heshima kwenu wote.
Kijana wa kiume,umri miaka 25,elimu kidato cha nne na ujuzi wa ufundi umeme wa nyumbani.
Anatafuta kazi yeyote halali iwe kwenye duka,soko,bustani,mgahawani nk
Ni kijana mwenye kiu ya kujifunza na mwepesi kuelewa.
Kwa sasa anapatikana Boma Ng'ombe (Hai)
Ukiwa na hiyo kazi,tafadhali mpigie kwenye simu 0766600317
Kijana wa kiume,umri miaka 25,elimu kidato cha nne na ujuzi wa ufundi umeme wa nyumbani.
Anatafuta kazi yeyote halali iwe kwenye duka,soko,bustani,mgahawani nk
Ni kijana mwenye kiu ya kujifunza na mwepesi kuelewa.
Kwa sasa anapatikana Boma Ng'ombe (Hai)
Ukiwa na hiyo kazi,tafadhali mpigie kwenye simu 0766600317