Kijana anatafuta kazi

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
8,259
13,549
Heshima kwenu wote.

Kijana wa kiume,umri miaka 25,elimu kidato cha nne na ujuzi wa ufundi umeme wa nyumbani.

Anatafuta kazi yeyote halali iwe kwenye duka,soko,bustani,mgahawani nk
Ni kijana mwenye kiu ya kujifunza na mwepesi kuelewa.

Kwa sasa anapatikana Boma Ng'ombe (Hai)

Ukiwa na hiyo kazi,tafadhali mpigie kwenye simu 0766600317
 
Heshima kwenu wote.

Kijana wa kiume,umri miaka 25,elimu kidato cha nne na ujuzi wa ufundi umeme wa nyumbani.

Anatafuta kazi yeyote halali iwe kwenye duka,soko,bustani,mgahawani nk
Ni kijana mwenye kiu ya kujifunza na mwepesi kuelewa.

Kwa sasa anapatikana Boma Ng'ombe (Hai)

Ukiwa na hiyo kazi,tafadhali mpigie kwenye simu 0766600317
Ushauri; bora afanyie kazi zake hukohuko boma ng'ombe maana huku mjini hata kazi za usafi ni kujuana, asije fika mjini akaanza kuomba kazi tena kwenye jf.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom