Wakuu habari zenu,
Napenda kujua ni kweli lazima kudhibitisha vyeti vya masomo Kwa mwanasheria Kwa kupiga mhuri Kwa mwanasheria ikiwa unataka kuomba ajira serikalini.
Na je Kwa waliowahi Fanya...
Hello .
Hivi ajira za afya na Ualimu kibali cha kuajiri watumishi Elfu 10300 na Raisi samia mwaka wa fedha 2023/24.
Zinatoka lini kwa anayejua Tetesi?
Waziri na viongozi wake wa Tamisemi Dana...
Habari wakuu.
Nipo na binti wa miaka 25, ni mkazi wa Wilaya ya Dodoma mjini Kata ya Ihumwa.
Elimu yake ni Stashahada ya mahusiano kazini kati ya mwajiri na mwajiriwa (diploma in industry...
Heshima kwenu wakuu, mimi kijana mwenye umri wa miaka 24, ni fundi simu mzoefu kwa zaidi ya miaka miwili, nina uwezo mzuri wa kutengeneza simu aina zote kwa software na hardware.
Nahitaji kazi...
Wana JF Mbathane in mtanzania anatumia lugha yake adhimu sasa baada ya kuharibu lugha ya watu, tafadhari mbele yenu ni kijana mhangaikaji natafuta fursa ya ajira hata ya kujitolea kwa kupata...
Mkuu, anaeijua kampuni inyoitwa Global Alliance anijuze, naona walinipigia simu nifike kwenye interview yao wanfanyia Kibo palace Arusha, kwa anaejua baadhi ya maswali wanoweza kutoa. Mimi nina...
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 26, kitaaluma mimi ni mtaalamu wa ufugaji wa viumbe vya majini (aquaculturist)
Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye hii industry nimefanya kazi katika...
Leo ningependa kuzungumzia namna kijana yoyote wa Kitanzania ambae una utaalamu na/au ujuzi katika eneo fulani unavyoweza kupata kazi katika mashirika na makampuni ya kimataifa yaliyopo popote...
Nimefanikiwa kupata Bachelor of Education, hivyo basi kwa yeyote mwenye uhitaji au connection itakayoniwezesha kupata kazi ya kufundisha au inayoendana na taaluma yangu.
Naomba kutanguliza shukrani.
Ndugu zangu habrini!
Mimi ni mwalimu wa masomo tajwa hapo juu.nilimaliza elimu yangu ya juu mwaka 2018 katika taasisi kubwa sana hapa nchi.
Nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka miwili na miezi 6...
POST ASSISTANT LECTURER – LAW(RE-ADVERTISED) – 1 POST
EMPLOYER TIA
APPLICATION TIMELINE: 2024-04-16 2024-04-29
JOB SUMMARY OK
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To prepare learning resources for...
POST LECTURER (MARITIME TRANSPORT/MARINE ENGINEERING)(RE-ADVERTISED) – 1 POST
EMPLOYER DMI
APPLICATION TIMELINE: 2024-04-16 2024-04-29
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To teach and...
POST SENIOR MARINE ENGINEER II (RE-ADVERTISED) – 3 POST
EMPLOYER MSCL
APPLICATION TIMELINE: 2024-04-16 2024-04-29
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To monitor running, operation and...
POST PRINCIPAL CAPTAIN (RE-ADVERTISED) – 1 POST
EMPLOYER MSCL
APPLICATION TIMELINE: 2024-04-16 2024-04-29
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
To perform Commander of the vessel of less...
POST BRANCH MANAGER(RE-ADVERTISED) – 1 POST
EMPLOYER MSCL
APPLICATION TIMELINE: 2024-04-16 2024-04-29
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To develop, design, build, install, inspect...
Kuna watu hapa wana GPA chini ya 3.5 na wengine chini ya 3.8.
Jambo hili linawafanya wengi wao kukosa baadhi ya nafasi za kazi.
Sasa je ni kipi husababisha mtu kupata GPA ndogo.
Na je kati ya...
Kwema wadau?
Naomba nitoe wazo kwa hawa jamaa utumishi, ni kwamba wanatakiwa kutambua kwa sasa uchumi wa nchi na hususani vijana ni kusuasua hivyo kuna mambo mengi tumepitia hata kabla ya...