Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous
Idara ya Maendeleo ya Jamii, bado hatujalipwa kabisa Fedha za kujikimu hadi sasa katika kipindi cha miaka mingi sana. Tangu tumeajiriwa mwaka 2023, mwaka 2024, mwaka 2025, na mwaka huu 2026...
1 Reactions
1 Replies
24 Views
Anonymous
Siku chache zilizopita niliwasilisha taarifa hapa JF kuhusu sisi Wahudumu tuliofanya kazi ya usajili wa majengo kwenye mfumo wa kodi katika Wilaya ya Muleba, Mkoa wa Kagera mwezi Juni mwaka 2025...
0 Reactions
0 Replies
36 Views
Una taaluma ya kufundisha katika elimu ya juu? Kuna nafasi mpya za Lecturer na Assistant Lecturer zilizotangazwa Morogoro. Hii ni fursa nzuri kwa wataalamu wanaotaka kuendeleza taaluma yao katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za muda huu, kwa wale walio wahi kufanya practical interview za utumishi, system administrator na networking please tupeane mwongozo, tupate angalau mwanga kidogo please msaada kujua...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Anonymous
Watumishi wa Idara ya Elimu ya Sekondari katika Halmashauri ya Ushetu wanaendelea kukumbwa na ucheleweshaji wa malipo ya fedha za uhamisho. Licha ya kupewa ahadi mara kwa mara kuwa malipo...
0 Reactions
1 Replies
52 Views
Kwa yeyote aliyewahi kufanya practical hususan kwa kada ya ICT (Database administration) naomba utupe mwanga kidogo, Je Inatumika DBMS System ipi? Postgre, SSMS, MySQL nk Je Practical nayo...
0 Reactions
1 Replies
31 Views
Anonymous
Habari ndugu zangu, nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Watumishi wa hospitali ya rufaa ya kanda KCMC na serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,tunaomba kero zetu...
7 Reactions
31 Replies
478 Views
Ndugu yangu ameitwa kazini kama Afisa Usafirishaji na katika barua yake ya ajira ameagizwa kuripoti Dodoma. Alifika mapema katika kituo alichopangiwa na kuanza taratibu za kuripoti kama...
4 Reactions
24 Replies
521 Views
Anonymous
Tunapenda kuwasilisha kero mbalimbali zinazowakabili watumishi wa Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA), ambazo zimekuwa na athari katika ustawi wa watumishi, morali ya kazi na ufanisi wa utekelezaji wa...
2 Reactions
5 Replies
110 Views
1. Wapigie utumishi au fika kwenye ofisi zao 2.Jaribu kureset password kwa email unayoikumbuka kwa kuiedit 3.hii ya tatu ni mwisho na wengi hamuijui lakini ukitaka nikwambie tuwasiliane personally...
1 Reactions
2 Replies
32 Views
KWENYE mfumo kwa upande wa elimu ya chuo NK hasa kuna sehemu imeandkwa REQUEST REMOVAL use it kama uliweka qualifications wrongly
0 Reactions
1 Replies
39 Views
Niliomba uhamisho bila kuomba vacancy request, lakini katika mlolongo wa mchakato kuna kipengele kilichoonesha: Vacancy Request Not Budgeted / Destination Already Filled – hali hii ilikaa kwa...
0 Reactions
2 Replies
67 Views
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake 1. TPDC 2. TCRA 4. Ngorongoro 3. Ewura 4. WCF 5. TBS 5. TANAPA 5. Tume ya madini 6...
112 Reactions
3K Replies
880K Views
Anonymous
Ndugu Wahusika, Napenda kuwasilisha changamoto ambayo watumishi wengi wa umma wanakumbana nayo wakati wa kutumia mfumo wa e-Uhamisho katika kuwasilisha maombi ya uhamisho kati ya taasisi...
1 Reactions
27 Replies
810 Views
Anonymous
Nimekuwa nikichangia fedha kwenye mfuko wa NSSF kwa zaidi ya miezi 88. Baada ya kuwasilisha madai ya kupata special lumpsum baada ya mkataba wa kazi kumalizika, nilipewa jumla ya kiasi kilekile...
3 Reactions
29 Replies
762 Views
Wajomba, Hivi baada ya ku submit transfer vacancy request katika mfumo wa ess utumishi kinachofuata fuata nini, je wanakujibu kama nafasi IPO au?
3 Reactions
121 Replies
9K Views
Habari za muda huu wajomba! Naitwa Fareed age 26 Nimekuja Mdogo wenu Nàomba Kazi ya Udereva, Elimu: Form Four Najua pia kutumia Computer&English Language Driving Licence ✅ Cheti (VETA) ✅ National...
3 Reactions
16 Replies
199 Views
Anonymous (cc8c)
Jambo la kushangaza ni kuwa mfumo wa ESS unashindwa kutuhudumia upande wakuuza mikopo, uhuru wa kuchagua benki ni wa wazi na riba zinaonekana, tunaiomba Serikali imalizie ama i-activate mfumo wa...
4 Reactions
23 Replies
594 Views
Baada ya kumaliza chuo tu. 01.Kazi yangu ya kwanza ilikuwa ni receptionist Zanzibar. Niliacha kwasababu niliona ni kazi ya kunyenyekea sana watu, ukiona mzugu umpokee umchekee upokee mabegi meno...
9 Reactions
55 Replies
637 Views
Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha tunalalamikia kuchelewa kwa malipo ya fedha za likizo, huku baadhi yetu wakiwa hawajapokea stahiki hizo kwa zaidi ya miaka mitatu. Watumishi...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Back
Top Bottom