Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,075
- 4,300
Heshima kwenu wakuu, mimi kijana mwenye umri wa miaka 24, ni fundi simu mzoefu kwa zaidi ya miaka miwili, nina uwezo mzuri wa kutengeneza simu aina zote kwa software na hardware.
Nahitaji kazi wakuu au kama kuna mtu anaweza kuwekeza mtaji tukafungua ofisi tukawa tunagawana percentage pia nitashukuru sana
Naomba kuwasilisha.
Nahitaji kazi wakuu au kama kuna mtu anaweza kuwekeza mtaji tukafungua ofisi tukawa tunagawana percentage pia nitashukuru sana
Naomba kuwasilisha.