Habari ya leo ndugu zangu wa JF.
Please kwa anaye fahamu salary scale ya NBAA 8/9 ni kiasi gani, naomba anifahamishe. Nina ndugu yangu ameitwa na Utumishi kufanya nao interview.
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imetoa malipo ya fedha za kujikimu kwa watumishi wa afya walioajiriwa kati ya Januari 2025 na Aprili 2026. Hata hivyo, walimu walioajiriwa katika...
Ahsanteni sana JamiiForums kwa kuendelea kutupatia habari na kutupa nafasi ya kufikisha sauti zetu.
Sisi watumishi wa ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, kada ya elimu, hadi sasa...
WALIMU Ajira za mwaka Jana (2025) mwanzoni na wa (2026) januari Bado HATUJAPEWA HELA yetu ya KUJIKIMU Na Idara husika hazisemi chochote wakati wenzetu halimashauri zingine wamepewa tayari.
Sisi ni watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, tulioajiriwa mwezi Januari mwaka 2026 kutoka kada mbalimbali ikiwemo ualimu, afya, ustawi wa jamii, kilimo na maendeleo ya jamii.
Kero yetu...
Watumishi wa umma wa ajira mpya katika Halmashauri ya Ngorongoro mpaka hivi leo, hatujalipwa kabisa "fedha ya kujikimu" na hatupewi mrejesho wowote na viongozi wetu. Sasa hata hio posho inapoteza...
Kwa mda mrefu watumishi wapya Halmashauri tofauti tofauti wamekuwa wakilalamika kutopewa pesa za kujikimu wengine zaidi ya miezi 6 hadi mwaka tangu kuajiriwa na wengine kupewa nusu ya malipo...
Wafanyakazi hawana tena mtetezi wachangamoto zao,, sio vyama vyao vya kitaaluma wala sio chama chao cha wafanyakazi serikali.
Watumishi wa umma wana hali mbaya sana hasa kipindi hiki ambapo siasa...
Tangu awamu ya sita ingie madarakani changamoto za Watumishi wa Umma zimekuwa zikitatuliwa kwa wakati na malalamiko yalikuwa madogo sana ila kwa sasa huu Mfumo wa PEPMIS umekuwa kama mtego wa...
Watumishi wa Kada ya Afya Ajira Mpya, Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya bado hatuchapokea hela ya kujikimu, ajabu ni kwamba viongozi hawaongei chochote kuhusu hizo hela.
Utaratibu wa malipo hayo ya...
Kwa niaba ya vibarua wanaofanya kazi katika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwenye mikoa yote ya kihuduma, tunaomba kupaza sauti kuhusu changamoto kubwa...
Kwanini Watumishi tunaungwa katika Vyama vya Wafanyakazi, Chama Cha Wafanyakazi Wa Serikali Na Afya Tanzania (TUGHE)na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) bila kuchagua...
Habari wakuu!
Nilikua naomba konekshon ya kazi.
Tanzania hii, ila ikiwa mwanza itapendeza zaidi.
Nimesomea mambo ya ustawi wa jamii(social work).
Mwnye fursa kwa unyenyekevu sana naomba unisaidie..
KPS TRAINING INSTITUTE
JOB ADVERTS
Electrical Installation – Tutor (Full time & Part time)
Qualification:
-Holder of Ordinary Diploma (NTA Level 6) in Electrical and electronic engineering or...
Napenda kutoa dukuduku langu, yaani hawa wasimamizi wa written interviews za utumishi baadhi yao wanasababisha watu wanafeli yaani mshaanza wao ni kelele.
Habari mimi ni mmojawapo ya watumishi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Mkoa wa Rukwa katika Kada ya Utendaji wa Kata, kero kubwa iliyopo katika halmashauri yetu ni kutolipwa kwa wakati madai...
Wakuu naomba kuuliza swali. Rafiki yangu amebahatika kupata ajira za utumishi katika wizara ya kilimo baada ya kuhangaika sana na usaili kila mwaka.
Ameajiriwa katika ngazi ya bachelor's degree...
Naomba SERIKALI ifuatilie maagizo kuhusu MSHAHARA KIMA CHA CHINI Kwa TAASISI binafsi hasa Kwa shule mbali mbali MFANO shule ya mchungaji mwema sec iliyoko NGARA KAGERA inalipa Watumishi TSH...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.