Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habari ya leo ndugu zangu wa JF. Please kwa anaye fahamu salary scale ya NBAA 8/9 ni kiasi gani, naomba anifahamishe. Nina ndugu yangu ameitwa na Utumishi kufanya nao interview.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Anonymous
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imetoa malipo ya fedha za kujikimu kwa watumishi wa afya walioajiriwa kati ya Januari 2025 na Aprili 2026. Hata hivyo, walimu walioajiriwa katika...
0 Reactions
2 Replies
115 Views
Anonymous
Ahsanteni sana JamiiForums kwa kuendelea kutupatia habari na kutupa nafasi ya kufikisha sauti zetu. Sisi watumishi wa ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, kada ya elimu, hadi sasa...
0 Reactions
0 Replies
120 Views
Anonymous
WALIMU Ajira za mwaka Jana (2025) mwanzoni na wa (2026) januari Bado HATUJAPEWA HELA yetu ya KUJIKIMU Na Idara husika hazisemi chochote wakati wenzetu halimashauri zingine wamepewa tayari.
0 Reactions
5 Replies
166 Views
Anonymous
Sisi ni watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, tulioajiriwa mwezi Januari mwaka 2026 kutoka kada mbalimbali ikiwemo ualimu, afya, ustawi wa jamii, kilimo na maendeleo ya jamii. Kero yetu...
0 Reactions
2 Replies
78 Views
Anonymous
Watumishi wa umma wa ajira mpya katika Halmashauri ya Ngorongoro mpaka hivi leo, hatujalipwa kabisa "fedha ya kujikimu" na hatupewi mrejesho wowote na viongozi wetu. Sasa hata hio posho inapoteza...
0 Reactions
4 Replies
89 Views
Kwa mda mrefu watumishi wapya Halmashauri tofauti tofauti wamekuwa wakilalamika kutopewa pesa za kujikimu wengine zaidi ya miezi 6 hadi mwaka tangu kuajiriwa na wengine kupewa nusu ya malipo...
2 Reactions
3 Replies
123 Views
Anonymous (028b)
Wafanyakazi hawana tena mtetezi wachangamoto zao,, sio vyama vyao vya kitaaluma wala sio chama chao cha wafanyakazi serikali. Watumishi wa umma wana hali mbaya sana hasa kipindi hiki ambapo siasa...
2 Reactions
5 Replies
317 Views
Tangu awamu ya sita ingie madarakani changamoto za Watumishi wa Umma zimekuwa zikitatuliwa kwa wakati na malalamiko yalikuwa madogo sana ila kwa sasa huu Mfumo wa PEPMIS umekuwa kama mtego wa...
1 Reactions
6 Replies
344 Views
Anonymous
Watumishi wa Kada ya Afya Ajira Mpya, Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya bado hatuchapokea hela ya kujikimu, ajabu ni kwamba viongozi hawaongei chochote kuhusu hizo hela. Utaratibu wa malipo hayo ya...
0 Reactions
7 Replies
206 Views
Anonymous
Kwa niaba ya vibarua wanaofanya kazi katika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwenye mikoa yote ya kihuduma, tunaomba kupaza sauti kuhusu changamoto kubwa...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Anonymous
Kwanini Watumishi tunaungwa katika Vyama vya Wafanyakazi, Chama Cha Wafanyakazi Wa Serikali Na Afya Tanzania (TUGHE)na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) bila kuchagua...
3 Reactions
8 Replies
300 Views
Habari wakuu! Nilikua naomba konekshon ya kazi. Tanzania hii, ila ikiwa mwanza itapendeza zaidi. Nimesomea mambo ya ustawi wa jamii(social work). Mwnye fursa kwa unyenyekevu sana naomba unisaidie..
0 Reactions
3 Replies
101 Views
KPS TRAINING INSTITUTE JOB ADVERTS Electrical Installation – Tutor (Full time & Part time) Qualification: -Holder of Ordinary Diploma (NTA Level 6) in Electrical and electronic engineering or...
1 Reactions
2 Replies
385 Views
Anonymous
Napenda kutoa dukuduku langu, yaani hawa wasimamizi wa written interviews za utumishi baadhi yao wanasababisha watu wanafeli yaani mshaanza wao ni kelele.
2 Reactions
2 Replies
224 Views
Hellw JF,kama unatafuta mwalimu wa computer courses na computer programming mchek 0759-124378 Anipatikana magari 7,mbezi ya kimara
1 Reactions
4 Replies
383 Views
Anonymous
Habari mimi ni mmojawapo ya watumishi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Mkoa wa Rukwa katika Kada ya Utendaji wa Kata, kero kubwa iliyopo katika halmashauri yetu ni kutolipwa kwa wakati madai...
0 Reactions
1 Replies
87 Views
Wakuu naomba kuuliza swali. Rafiki yangu amebahatika kupata ajira za utumishi katika wizara ya kilimo baada ya kuhangaika sana na usaili kila mwaka. Ameajiriwa katika ngazi ya bachelor's degree...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Anonymous
Naomba SERIKALI ifuatilie maagizo kuhusu MSHAHARA KIMA CHA CHINI Kwa TAASISI binafsi hasa Kwa shule mbali mbali MFANO shule ya mchungaji mwema sec iliyoko NGARA KAGERA inalipa Watumishi TSH...
3 Reactions
13 Replies
359 Views
Back
Top Bottom