KERO Malipo ya Usajili NECTA TEWW Tabora yamechelewa

KERO Malipo ya Usajili NECTA TEWW Tabora yamechelewa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wilaya ya Tabora baadhi ya shule binafsi za sekondari atujalipwa pesa zetu za usajili mtihani wa taifa NECTA kidato cha pili na nne wanafunzi tuliowasajili ni wa Taasisi ya Elimu ya Watu wazima TEWW tangu Mwezi wa tatu 2026 mpaka sasa na mamlaka ipo kimya na ingawa tumeisha wasilisha akaunti zetu malipo kwao
 
Back
Top Bottom