Natafuta kazi ya udereva

Natafuta kazi ya udereva

Chaz Joe

Member
Joined
Jul 3, 2019
Posts
13
Reaction score
38
Habari !

Natafuta kazi ya udereva wa magari ya abiria, taasisi au hata ya binafsi. Nina umri wa miaka 27 vyeti halali na leseni daraja D, C1, C2 na C3. Nina uzoefu wa miaka 3 katika udereva (NOAH + HIACE) Napatikana Morogoro, ila naweza kufanya kazi sehemu yoyote ile. Kwa yeyote mwenye Connection nicheki 0766836175
 
Habari ! Natafuta kazi ya udereva wa magari ya abiria, taasisi au hata ya binafsi. Nina vyeti halali na leseni daraja D, C1, C2 na C3. Napatikana Morogoro, ila naweza kufanya kazi sehemu yoyote ile. Kwa yeyote mwenye Connection nicheki 0766836175
Weka wasifu wako kijana....
Kama umri, leseni yako inamiaka mingapi, umewahi kufanyakazi wapi, unauzoefu wa miaka mingapi na kadhalika nakadhalika....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom