Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Ndugu zangu napenda kujua hivi inakuwaje kwenye mfumo wa ajira portal nilifanya application nikawa shortlisted nkaenda written na oral nikaenda sasa ile application nilifanya sahivi kwenye ajira...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Anonymous
Naomba kupewa ufafanuzi kidogo. Je, katika Ofisi ya Ujenzi ya Halmashauri ya Wilaya ya Butiama, ni utaratibu wa kawaida kwa watumishi, hususan wa Idara ya Ujenzi, kutolipwa fedha za likizo na...
1 Reactions
2 Replies
134 Views
Samahanini Jamani kwa anaefahamu mtu ukitoka interview oral utumishi, majibu yanakuaje? Kwenye account zetu pale panaandikwaje? Nisaidieni tafadhali.
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Kuna watu wanaweza wakawa wanaona fursa wanazidharau Kumbe hizo ni dili Kwa wengine Mi kuanzia mwezi wa saba ntaanza kupata soko la maharage! Maparachichi, Karanga na mafenesi huku, naona...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Iwe Duka La Jumla Au Reja Reja Ana Miaka 23 Elimu Ya Chuo Sema Ajira Ndo Alikosa Anatafuta Kazi Ya Duka La Jumla Au Reja Yupo Dar Mawasiliano Namna Ya Kumpata 0798461717
0 Reactions
1 Replies
107 Views
Habari Mimi ni kijana wa miaka 27 nimehitimu shahada ya kwanza mwaka 2023, natafuta shule ya kufundisha kwa masomo ya mathematics, physics, biology na chemistry kwa primary, ordinary level, na...
0 Reactions
2 Replies
178 Views
Anonymous
HALMASHAURI YA MJI NEWALA-MTWARA HAIJATULIPA FEDHA ZA KUJIKIMU WALIMU AJIRA MPYA 2026 ,LAKINI IMEWALIPA IDARA YA AFYA PEKEE TULIYOAJIRIWA PAMOJA.
1 Reactions
4 Replies
149 Views
Heshima kwenu wote familia Kutokana na changamoto ya ajira hasa katika sekta hizi za engeneering, nikawa nimejaribu kufikiria kuhusu nafasi za kuingia migodini lakini ugumu uliopo ni namna ya...
2 Reactions
6 Replies
482 Views
Msaada tutani Salary scale of TGFPS 1
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Kama uko na nyumba ya wageni na unahitaji mfanyakazi Niko hapa, nitafanya kazi zote, na Seriously ndani ya miaka miwili utajenga guest nyingine. Mtu seriously pekee anicheki
3 Reactions
14 Replies
195 Views
Ukileta changamoto yako wewe mwenyewe humu jukwaani watu watakuhoji lakini pia watakushauri nini cha kufanya kuliko hilo roboti lenu mnalolituma Kujeni wenyewe au mnaogopa kuanzisha account jf?
4 Reactions
22 Replies
280 Views
Usiache kuomba na kama una changamoto tuwasiliane unikusaidie kirahisi. Usisahau kuwa Mimi siyo mfanyakazi wa PSRS ila natoa msaada ingawa nimeona "flagging" ya malalamiko ya wadau. Kwa ufupi...
1 Reactions
1 Replies
135 Views
•Mh Katibu Mkuu inakuwaje mtumishi anapata total score 65 lakini progressive 00% shida kubwa inakuwa kwa nani? •Maana yake huyu mtumishi hajakuwepo kazini mwaka mzima?je yule anaemsimamia aliwahi...
0 Reactions
10 Replies
311 Views
Mimi ni mpishi mzuri Sana wa Ugali! Ugali aina zote. Dona, Sembe, Ugali wa mhogo, Ugali wa mtama. Ugali mlaini kabisa au lile Dona la kisukuma. Mtu seriously nicheki DM
2 Reactions
12 Replies
128 Views
Anonymous (dd8c)
Wilaya ya Meatu walimu tunakataliwa kujitoa chama cha walimu kujiunga chakuhata wakati chama cha walimu cha wilaya kina fanya mambo ya hovyo mengi. Kwa mfano, fedha za walimu zinarudi tawini...
0 Reactions
3 Replies
134 Views
Habari wadau, Natafuta nafasi ya kazi ya ustawi wa jamii (SOCIAL WORK) hata kazi zingine tofauti na taaluma yangu ZINAZOFAA. Nina elimu ya chuo (kaliua institute of community development) Pia...
1 Reactions
2 Replies
155 Views
Wakuu, Naamini mko salama kabsa. Naomba kuuliza, mkopo kwa watumishi wa serikali kutoka hazina kuu huwa unapatikanaje na mtumishi afanye nini kuupata? Nimesikia baadhi ya watumishi wakiwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu! Kiukweli niko kwenye SURVIVAL MODE hali ni mbaya sana ground ni pamoto kwakweli moja haikai wala mbili haikai naombeni kwa mwenye connection ya kazi ya ULINZI as a stepping...
11 Reactions
65 Replies
3K Views
Anonymous
Sisi watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea tunapitia kipindi kigumu kutokana na kucheleweshwa kwa stahiki zetu mbalimbali, hususan malipo ya posho za kuhudhuria vikao. Tatizo kubwa...
0 Reactions
1 Replies
119 Views
Anonymous (ffb0)
Mimi ni mtumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA). Kumekuwepo na changamoto ya kukosekana kwa usawa na haki katika upandishaji wa madaraja na mabadiliko ya...
0 Reactions
0 Replies
205 Views
Back
Top Bottom