Mimi napenda kumfichua jamaa mmoja anaitwa ALLY OMARI ZABRON anafanya kazi wizara ya elimu, huyu jamaa anawatapeli watumishi wa umma kuwa anaweza kuwahamisha kutoka sehemu waliopo na hivyo kula...
Mimi ni mtumishi wa Serikali katika Idara ya Elimu. Nina changamoto ya kutohamishiwa taarifa zangu za kiutumishi na mshahara baada ya kuhamia Halmashauri nyingine kwa mujibu wa uhamisho...
Ombi la Msaada: Utekelezaji mbovu wa Sheria ya Maternity kwa Walimu Wakuu
Habari Wadau
Pole na hongera kwanza kwa kazi nzuri ya kutupa sauti sisi ambao hatusikiki.
Nina kero ambayo inatuumiza...
Sisi ni watumishi wapya wa Idara ya Afya tulioajiriwa mwaka 2025/2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Mkoa wa Tabora. Awali tuliwasilisha malalamiko yetu kupitia JamiiForums.com kuhusu...
Naitwa Ramadhan Hasheem naishi Kinyerezi, Dar es Salaam.
Niko apa kuomba mwenye ajira ya dereva bolt iwe Mkataba au hesabu. Leseni yangu iko clean na pia nitakuja na barua ya mwenyekiti na...
Umoja wa Walimu Wasio na Ajira (NETO) uliwasilisha taarifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuhusu kutotekelezwa kwa ahadi za Serikali na kutopatiwa majibu kuhusu changamoto zinazowakabili...
Sisi ni vibarua wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Idara ya Mazingira na Bustani, tunaomba kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu kuchelewa kwa malipo ya mishahara.
Kwa muda sasa, vibarua wa jiji...
Kuna interview nimeitwa hapo kiwandani, mwenye idea na hicho kiwanda kuhusu hali ya maisha (huduma muhimu) huko, nimeambiwa kipo kibaha, vipi kuhusu utamaduni wa kampuni husika kama...
Halmashauri ya Jiji la Arusha, Ajira mpya elimu tumelipwa hela ya kujikimu nusu ila tukiuliza kuhusu pesa iliyobaki hatupewi majibu yanayojitosheleza, wanasema turidhike na hiyo hiyo maana kuna...
Soma: Maswali ya Kujiandaa na Oral Interview TAKUKURU
Vijana wengi wameitwa katika usaili wa mchujo TAKUKURU au PCCB. Usaili huu ni wa kuandika na unafanyika kwa njia ya kompyuta. Wengi walioitwa...
Kwanza, napenda kuwashukuru kwa kazi kubwa mnayoifanya ya kuwapa wananchi nafasi ya kutoa maoni, changamoto na kero zao kupitia jukwaa hili.
Ninaomba kupaza sauti kuhusu suala la malipo ya hela...
Mimi ni mtumishi Idara ya Kilimo Wilaya ya Bariadi kero yangu ni kuhusu Fedha ya Kujikimu, tangu mwaka 2025, Julai tulipo ajiriwa tumepunguzwa laki Moja tu kati ya laki 6, baadhi ya tulioingia nao...
Naomba utusaidie kutoa malalamiko yetu Ajira Mpya 2025/2026 katika Halmashauri ya Bunda DC Kada ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi mpaka sasa ni mwaka hatujalipwa hela ya kujikimu.
Ajira Mpya Urambo Tabora, tangu January 2026 Idara ya Afya na Walimu hatujalipwa fedha za kujikimu, tukiuliza tunaambiwa fedha zetu hazijafika, zilizofika ni awamu hii ya mwishoni Ajira ya May...
Halmashauri ya Lushoto inachelewa kuwapa Watumishi Posho zao za kujikimu walioajiriwa Mwaka 2026, hivyo kufanya vijana kuishi kwa ugumu huku Ugenini.
Wakati Halmashauri nyingine ndani ya Mkoa na...
Halmashauri ya Wilaya ya Mtama inakabiliwa na upungufu mkubwa wa magari ya wagonjwa. Kwa sasa kuna magari mawili pekee yanayofanya kazi, lakini ni moja tu linalotumika mara kwa mara kutokana na...
Anaitwa mohammed
Anaishi mbagala mbande
Anatafuta kazi ya aina yoyote ile yupo tiyali
Kwa jinsi alivyonielezea shida zake nkaona vyema kumleta hapa jamvini
Namba ya 0693 166 490
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimeitoa Tanzania kimasomaso baada ya kuibuka kidedea kwa kushika nafasi ya kwanza Tanzania na Afrika Mashariki na cha nne Afrika, kwenye soko la ajira...
Natafuta fundi wa nguo za kiume mwenye ujuzi wa msingi. Nitakufunza na kukuongezea ujuzi zaidi wa ushonaji wa kisasa. Ofisi ipo Dar es salaam, kinondoni. Kama upo tayari kujifunza na kufanya kazi...
Survival Skills vs High Income Skills
Watu wengi siku hizi wanakimbilia kujifunza high income skills kama AI, digital marketing, coding, copywriting au video editing. Hilo ni jambo zuri.
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.