Hivi huoni kuwa unanionea bure

Hivi huoni kuwa unanionea bure

Bei rahisi Electronicks

Senior Member
Joined
Nov 24, 2025
Posts
167
Reaction score
392
Nina Nyumba mbili, Nina Gari, nina kampuni, nina miradi.
Umeona tayari nina unafuu wa maisha, unataka nikuoe.

Wewe Huna kazi wala Biashara, mbaya zaidi Huna bikira.

Hivi huoni kuwa unanionea bure,
Kipindi mimi nipo busy kujitafuta, wewe ulikuwa busy kubadili mageto ya wahuni.
 
kwani unatafuta business partner au unatafuta mwanamke wa kukuzalia na kukutunzia watoto wako? kama unatafuta mke hao wenye biashara, kazi za maana na kipato kikubwa ujue hawana muda wa kukutunzia watoto wako...wako busy na mambo yao....kama unataka watoto wako walelewe na house girl nenda ukaoe hao
 
ukiona mwanaume mzima anasubiri na kutaka demu amtake amuoe ujue hapo hakuna mwanaume bali kuna mtoto tena ambaye ni mgonjwa wa akili.

mwanaume anajua anachokitaka na anatafuta mwanamke anayependa kuanzisha naye familia kwa kumchumbia, huo ndio uanaume na siyo kusubiri mwanamke akufwate eti kisa una una viela, huo ni unyanyasaji na siyo uanaume.

watu type yako ndiyo mliotufikisha hapa, mna majukumu makubwa lkn kichwani ni watoto, matokeo yake mnaharibu nchi kwa utoto …
 
Nina Nyumba mbili, Nina Gari, nina kampuni, nina miradi.
Umeona tayari nina unafuu wa maisha, unataka nikuoe.

Wewe Huna kazi wala Biashara, mbaya zaidi Huna bikira.

Hivi huoni kuwa unanionea bure,
Kipindi mimi nipo busy kujitafuta, wewe ulikuwa busy kubadili mageto ya wahuni.
Vibabu ea jf wanashindwa mawazo na gen Z wa tiktok
 
Kwakweli kama yeye ndiye anataka umuoe ni kweli anakuonea
Lakini kama ni wewe ndiye unayetaka kumuoa basi hakuonei bro
 
Bill gates ameoa
Bakhresa ameoa
GSM ana make
Mfalme wa Dubai ameoa
Kwa kitu gani cha kutisha ulichonachi Kwanza
Peleka kibamia chako huko
Wenye uume zao wameoa
Mbona umejibu kwa hasira sanaa

Elon musk hajaoa

Asante
 
Vijana kumbukeni kwenye ndoa na maisha yabalance kuna bread "winner" na bread "eater" hizo materials zako umemkusanyia eater ili akili yako ibalance, zaidi ya hapo utakuwa na "ego" then itapanda zaidi mwisho itakuua tu.

Mwanamke hajaumbwa kupambana na matofali, mawe, mchanga, magari, mbao nk wanaforce tu hawa wa kisasa naturally ni kama software kwenye mamisuli yako so mpe nafasi yake ili umanage hayo yako!

Sio kazi ya mwanamke "kuprovide" Tazama hata mwili wake soft na umejaa futa hata akipiga chuma hamna kinachobadilika hii ni nature akigeuka nyuma we unapata tulizo kwa kutazama tu! Hana cha kukupa zaidi ya Sex

Habari ya mwanamke kufanya makazi magumu sio natural ukitaka zaidi ya hapo utakua frustrated tu, kasoro kwa simba tu, period
 
Nina Nyumba mbili, Nina Gari, nina kampuni, nina miradi.
Umeona tayari nina unafuu wa maisha, unataka nikuoe.

Wewe Huna kazi wala Biashara, mbaya zaidi Huna bikira.

Hivi huoni kuwa unanionea bure,
Kipindi mimi nipo busy kujitafuta, wewe ulikuwa busy kubadili mageto ya wahuni.
Dada yangu hana kazi wala Biashara lakini ana Bikira Original, naomba nikuletee umuoe
 
Mwanamke asiyekuwa na Bikra HAPASWI kuolewa!

Hili suala ni kama watu huwa hawapendi liongelewe hasa wanawake walioharibiwa mapema!

Mwanaume yeyote anayetoa mahari Kwa mwanamke asiyekuwa na Bikra huyo ni MWEHU!

Matatizo yote ya ndoa duniani kuparaganyika chanzo ni Wanawake kuwajua wanaume kabla ya ndoa!

Mwanamke asiyekuwa na Bikra ni sawa na MALAYA

MWANAUME YEYOTE ALIYEOA MWANAMKE ASIYEKUWA NA BIKIRA HANA AKILI TIMAMU
 
Back
Top Bottom