Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nilikuwa binti mtulivu sana ktk usichana wangu,mpaka naanza chuo mwaka wa kwanza simjui mwanaume kabisa,nilikuwa binti mzuri sana na mwenye tabia njema sikua na mapepe kabisa,nimelelewa kwenye...
22 Reactions
178 Replies
4K Views
Katika pitpita zangu mitandaoni, nimekutana na hii habari ya Mark wa Mark Angel Comedy (kama humjui potezea point yangu sio hiyo). Wanaijeria hasa wanawake wanamnanga kwelikweli hata mimi nimeona...
13 Reactions
138 Replies
2K Views
NI jirani yangu, tumeheshimiana tangu kujuana, huu ni mwaka WA 3 tunaishi vema kabisa! Kama tar.20 May, aliazima kiasi kidogo cha pesa, kama 150k kwa ahadi kwamba angerudisha tar.30/05/2026...
15 Reactions
67 Replies
2K Views
Katika kitu kimenishindaga kwenye mahusiano ni kurudiana na ex wangu yeyote yule. Mimi roho yangu ni ndogo sana mtu akinikosea huwa inaniwia vigumu kumsamehe na kurudiana nae. Niliwahi kujaribu...
10 Reactions
27 Replies
467 Views
Niliogopa sana. nikakaangalia usoni kakaniuliza "heeeeeeh mbona unaniangalia hivyo kama nimesema kitu cha ajabu? ndo hivyo kama kweli unanitaka basi uanze kuni spoil mahitaji ya mwanamke unayajua...
0 Reactions
5 Replies
163 Views
Hlw Nipo nae tangia mwaka juzi, nilimtongoza akanikubalia nikaanza kuhudumiana naye kama girlfriend wangu na alinambia yupo chini ya uangalizi na wazazi wake so alikuwa akiishi kwao Nikimuhitaji...
12 Reactions
63 Replies
955 Views
Taifa linaelekea wapi? Hivi hatuna watu wenye akili, hekima, busara, tafakuri na maono ya kukemea haya mambo? Tunataka tuwarithishe nini watoto wetu? Mshikamano au utengano? Hivi tunajua madhara...
13 Reactions
86 Replies
1K Views
Kila nikikutana na ndugu, mashangazi au majirani, swali limekuwa ni lilelile lisilobadilika: "Unaoa lini?" Ukishakuwa na kazi au kipato kinachoonekana, ndipo ushauri unaanza kumiminika kutoka kila...
11 Reactions
46 Replies
445 Views
Habari BaNdugu! Nakukumbusha Thamani ya Uhusiano Huu! Hoja kuu ni kwamba uhusiano wa muda mrefu zaidi kwa watu wengi si ndoa, urafiki, wala hata ule wa wazazi, bali ni ule wa ndugu wa damu...
8 Reactions
11 Replies
164 Views
Shikamoon wakubwa zangu wadogo zangu hamjambo Habari za jumapili. Leo niongee na dada zangu na wadogo zangu waliopo humu ni jinsi gani utateseka na kuumia ikiwa tu, huna pesa yako mwenyewe...
5 Reactions
61 Replies
538 Views
Hatua ya kubalehe ni mbaya kama usipokuwa na mshauri au uangalizi wa mzazi na kupitia ndoto nyevu na zile nyege za kubalehe wengi wamezama humo kwenye NYETO na mpk leo hii wengine wameshindwa kuoa...
3 Reactions
173 Replies
10K Views
Hii ni Kweli kabisa ukizingua wee ni boya kabisa. Kwa Sisi wanaume tusipokula mzigo Kwa Muda mrefu akili inakuwa kama imeganda hivi.Unaweza kuidanganya akili kwamba huwazi Tena kuhusu papuchi...
19 Reactions
125 Replies
2K Views
Iwe kwa alie kwenye ndoa, uchumba au mahusiano ya kimapenzi? na, kwanini hakuna anae kataa? Achana na wanaojiuza mitaani kwenye madanguru n.k, nazungumzia ambao hawako kwenye biashara hiyo ya...
3 Reactions
64 Replies
904 Views
Leo kitaa hapa nilipo tumeamkia msiba wa kijana mmoja wa miaka 38.kijana huyu alikutikana akiwa ananing'inia kwenye paa. jana...
2 Reactions
6 Replies
206 Views
NINA DEMU WAKATI WA KUFANYA MAPENZI HUWA ANATAKA NIMTIE DOLE NYUMA, NAPATA WASIWASI ISIJEKUWA TAYARI ANATOA NYUMA?
6 Reactions
39 Replies
674 Views
Kwanza naomba kwa nitakae mchukiza kwa hiki ninachoenda kukiandika hapa tusameheane ila nitasema ukweli na ukweli tupu sitosema uongo. Niende moja kwa moja, kwanza brother huyo binti au mwanamke...
11 Reactions
56 Replies
546 Views
Kidume akishavuka 35, ule uwezo wa kutafuna jagina sio tena ule wa 18-35 ndio maana hata sugar mamy huwez mkuta ana tembea na jamaa wa 35+, huwa mara nyingi ni vijana wa 20s. Kwahiyo acheni visa...
9 Reactions
60 Replies
915 Views
Siku za nyuma kuna member aliandika kuhusu mabinti wa chuo kikuu ambao wanafanya kazi kwenye mgahawa wa kuuza chakula wakiwa bado wanasoma. Members wengi waliwapongeza lakini ukiangalia cha ajabu...
20 Reactions
51 Replies
567 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…