Kuanzia leo silali na wake za watu

Kuanzia leo silali na wake za watu

Sijui wanaume tunapata wapi nguvu ya kusex na mke wa mtu, mm nikishajua huyu n mke wa mtu hata mazoea ya salamu siwezi kuwa nayo kwake.

Em vaa uhusika WA Huyo mume then ndio utajua maumivu ya kujua mke ameliwa nje.
 
Nimeamua kubadilika rasmi sitaki tena wake za watu ingawa ni watamu sababu kuu sitaki kua chanzo cha familia kuvunjika ni dhambi sana hasa nikiangalia watoto wanaenda kuishi tofauti na wazazi wao nimeshaivunja moja nyingine inahati hati ya kuvunjika
Tena una bahati hujafa, mke wa mtu ni sumu. Ulibugia hizo sumu na bado upo mzima? Ila tafuta dawa ya kuondoa sumu mwilini na ukome kama mtoto anavyoacha kunyonya.
 
Wewe sema sababu washakukwichy sisi wote watanzania haina haja kufichana..!!
Duara.png
 
Nimeamua kubadilika rasmi sitaki tena wake za watu ingawa ni watamu sababu kuu sitaki kua chanzo cha familia kuvunjika ni dhambi sana hasa nikiangalia watoto wanaenda kuishi tofauti na wazazi wao nimeshaivunja moja nyingine inahati hati ya kuvunjika
Dah watu mnavuka sana mstari mwekundu, na uzee wangu wote sijawai hata shika nyoyo la mke wa mtu wala kugusa mwili wake
 
Sijui wanaume tunapata wapi nguvu ya kusex na mke wa mtu, mm nikishajua huyu n mke wa mtu hata mazoea ya salamu siwezi kuwa nayo kwake.

Em vaa uhusika WA Huyo mume then ndio utajua maumivu ya kujua mke ameliwa nje.
Ndio maana nimeamua kuwakimbia kabisa
 
Back
Top Bottom