Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Hii ni stori ndefu sana kipindi hicho nilikuwa naishi Mwanza nikifanya biashara ya mavazi nikinunua Dar kwenda kuuza Mwanza,na mdogo wangu wa kike alikuwa anasoma UDSM,mda mwingi nilikuwa...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Nina miadi na mke wa mtu leo (date) ila sijui namna ya kuhandle situation. Wajuzi nisaidieni.
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Nimeamua kushare hapa hiki kisa cha kweli kilichonitokea kwenye maisha yangu. Nikiamini wengi mtajifunza na kuburudika pia. NB: Majina ya watu na baadhi ya Majina ya sehemu yatakuwa sio halisi...
46 Reactions
513 Replies
126K Views
Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??. jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome...
26 Reactions
217 Replies
5K Views
Habari zenu! Kuna hofu inazidi kutanda dhidi ya wanaume wengi kuhofia maumbile yao ya uume. UKWELI NI KWAMBA.. Maumbile ya uume yapo sawa ondoa hiyo hofu. Yapo sawa kivipi...? maumbile ya...
12 Reactions
156 Replies
8K Views
Waslaam wakuu, kwanza naomba nitangulize shukrani zangu za dhati kwa mwenzetu bafetimbi kwa kuanzisha thread murwa kabisa ya Nofab challenge ambayo imeonekana kupokelewa vizuri Sana na Wana...
13 Reactions
71 Replies
9K Views
Iko hivi ,nilihamia hapa dsm mnamo mwezi wa saba mwaka jana nilivofika kuna dem nilisoma nae chuo tukadate kidogo then after mimi kumaliza chuo nikamtema coz hakua chaguo zangu .. Sasa nilivokuja...
15 Reactions
63 Replies
2K Views
Yaani mdogo wako anakutangulia kuzaa aisee ni dharau sana Wazee kuna mjinga mmoja hapa mtaani mdogo wake ana watoto wa 3, yeye hana hata mmoja aisee halafu kampita mdogo wake kwa miaka 5 Huu ni...
6 Reactions
37 Replies
872 Views
Wakuu, Mganga wa jadi kazi yake kuponya magonjwa kwa kutumia dawa za mitishamba, hapo dhambi yatoka wapi? Dhambi ni pale mtu huyo anatumia mitishamba hiyo kuua au kufifisha mipango ya mtu...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Ukisoma makala na hadithi mbalimbali kuhusu ndoa zinaonesha kuwa miaka ya nyuma viongozi wa dini ya kikristo walikuwa hawafungishi ndoa endapo wachumba wanatofautiana zaidi ya miaka 10. Walikuwa...
9 Reactions
86 Replies
2K Views
HATA USIKU UKITOA HARUFU NJEMA MKEO ANA PROUD IMETOKEA CHAKULA CHAKE UNARUDI SAANANE UNAJA...MKE ANAHAMIA KWA WATOTO ALAFU UNAKUJA KANSANI USAIDIWE HAPANA HAIPO HIOO KULA NYUMBAN TUMWELEKEZE MKE...
3 Reactions
10 Replies
147 Views
Nipo kwenye mahusiano na huyu Dada kwa mwaka mmoja na nusu sasa. Hatuishi pamoja lakini muda mwingi nipo kwake, ananihudumia kwa kila kitu. Mimi nafanya kazi lakini kipato changu ni kidogo sana...
8 Reactions
72 Replies
3K Views
Habari wakuu Nimehangaika sana kukabiliana na hili jambo lakini kwa uwezo wangu wote imeshindikana kabisa nahitaji msaada na ushauri haswa wa kiimani Lakini msaada huu sipendelei munielekeze kwa...
21 Reactions
328 Replies
7K Views
Shalom wana wa Mungu, Sijui niongeze sauti… lakini kichwa cha habari kinajieleza. Wanandoa hasa wamama—badilikeni. Pendeni nyumba zenu kama mnavyopenda wachungaji, manabii na mitume. Maana...
3 Reactions
11 Replies
504 Views
Yupo hapa kijiweni kwangu. Tangia asubuhi ni Farasi Mweupe, ambiance, Kitoko na Kigogo. Anasema ndugu zake walimuweka kiti moto kiasi cha kuishiwa raha ya sikukuu. Kwa nini hauoi na una miaka...
9 Reactions
33 Replies
587 Views
Hili swali nakuuliza wewe ambae bado hujafika umri wa kuozesha binti/kijana wako, je umejiandaa kuwa Baba/mama mkwe wa aina gani Je ni kitu gani sasa hivi unakifanya ila ukifikia hatua ya kuwa...
7 Reactions
32 Replies
365 Views
Wasalaaaaam! Ndugu zangu leo nimeona nianzishe huu uzi hapa ili pawe kama Centre maalumu ya kupumulia na kupata ushauri kwenye masuala ya mahusiano, ndoa na hata urafiki baina ya wanaume na...
2 Reactions
108 Replies
10K Views
Hii ni stori ya kweli kabisa ilikuwa miaka ya 2010 kipindi hicho ningali bado kijana nilikuwa na mpenzi wangu mmoja nilikuwa nampenda sana lakini alikuwa msumbufu hajatulia Basi kuna nyumba moja...
4 Reactions
10 Replies
873 Views
MARA nyingi vijana hupata taabu sana katika suala la kuchagua mchumba. Vijana wa kiume ndio hasa hupata wakati mgumu zaidi kwani jamii imewapa wajibu wa kuanzisha mazungumzo yahusianayo na...
8 Reactions
16 Replies
12K Views
Wadada wa mjini ndiyo zao, wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa wanaume walio kwenye ndoa na angalau unajiweza kiuchumi. So, anakuambia anaomba mzae tu eti hatakusumbua, haipogo hivyo...
33 Reactions
277 Replies
40K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…