"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Andrew123

JF-Expert Member
Jun 2, 2012
7,043
8,599
Wadada wa mjini ndiyo zao, wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa wanaume walio kwenye ndoa na angalau unajiweza kiuchumi. So, anakuambia anaomba mzae tu eti hatakusumbua, haipogo hivyo wakulungwa. Ukijichanganya ukazaa naye utajuta.

Kabla, bibie hufanya risk assessment (Cost-Benefit Analysis) kulingana na kipato chako. Hawaji kichwa-kichwa, so kama huna hela hawa utawasikia kwa wenye hela tu.

Siku analianzisha unashangaa hivi huyu si ndiyo alisema hatanisumbua?

IMG-20210109-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom