Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Life is like a trade. What is trade? -Trade is any exchange; you give what you have for what you need. -In Trading you release your liabilities and your acquire assets because all of us have God’s...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Am looking for friends,nasoma kidato cha tano hapa mwanza....napenda amani.0752 202052 AU 0715 206048
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Unakuta umeenda kwenye show ya msanii flan na mpenzi wako,cha kushangaza huyo mpz wako anajifanya anaenda kumtuza huyo msanii afu anamkatikia mauno as if wanajuana..inanikeraga sana hii tabia.
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Hiki ni kisa cha kweli kimetokea leo Mjini Dodoma. Endelea kupata uhondo............ Mtu anatoka 'guest' kufanya 'mambo' na mpenzi wake. Bahati nzuri ghafla anamuona dada yake naye anatoka...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Ni katika kusherekea miaka 50 ya uhuru. Ninatoa ofa ya kula chakula cha usiku na kuburudika kwa mrembo yoyote wa jf atakayekuwa tayari tuwasiliane 0657 93 83 95. Hppy brthday TANZANIA.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
In her book, Dr. Holly Hein explores infidelity and teaches how to cope with its aftermath. By understanding the motivations behind the affair, betrayed spouses can learn to heal and rebuild...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
habari zenu ndugu zangu
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Wapendwa wana JF..katika kuchagua mwenzi kila mtu ana criterias zake.Lakini inatakiwa ikumbukwe kwamba si lazima utakutana na ambae yupo totally perfect..hakuna mwanadamu kamili..ila baadhi yetu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nikiwa safarini hivi majuzi nimesikia kupitia BBC kuwa mkenya mmoja aishiye London Uingereza amehukumiwa kwa kumbaka mkewe. Kisa, alifanya naye mapenzi bila ridhaa ya huyo mkewe. Nikawambia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa wanaojua suala la 'sick building syndrome' watakubaliana nami kwamba mtu unaweza ukawa mgonjwa ili hali si mgonjwa. Kwamba baadhi ya vitu unavyoishi navyo ndani ya nyumba au nje vikawa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi kikwete kalaaniwa ama lah'jamani huyu babu angalia shingoni si atatufia kwenye matafrija jamani?? Hivi dar ameshindwa kuongoza kijana wapendwa loh??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari zenu wana JF? hivi karbuni nmekua nikifuatilia sana hili jukwaa na kusoma threads zenye mafunzo kwa baadhi ya watu {nami nikiwa mmoja wao} ila nipo hapa nikiomba msaada kwa yeyote mwenye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kwa utafiti wangu mfupi nilioufanya mawasiliano yanayotendeka kwenye simu na internet asilimia nyingi mawasiliano ya mda mrefu yanayo fanyika ni ya jinsia mbili tofauti(msichana na mvulana)
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama wapenzi wangekuwa wanaoyeshana CV kabla ya kuona ingekuwaje? 1. Je wangefoji CV? 2. Je wangefoji uhalisia wa maisha yao? 3. Je ndoa zingekuwa zinadumu au zungekuwa zinavunjika kwa kasi...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
jamani hivi unajua mara nyingi ninajiuliza hili swali nashindwa kuelewa ni kwanini wakati watu wanakua wanatokeana wanakua wanaishi life ambalo ni artificial.....! kwanini wasiwe wanaishi maisha...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa wanaume mli-ooa(married) hivi kwanini baadhi yenu mkeo akipendeza mnanuna? (naongelea age mate kati ya 29-35..huko kwingine sijafikia (time will tell) wakati mkiwa wote labda mmekaa mahali...
0 Reactions
53 Replies
4K Views
Katika kipindi cha miaka 12 ktk ndoa yangu nimegundua tatizo kubwa sana la mke wangu ambalo kwa ufupi ni chanzo kikubwa cha migogoro ktk ndoa yetu. Nimegundua kuwa wife wangu ni vigumu ku keep...
12 Reactions
279 Replies
26K Views
Looking for a relationship .. Only girls aged between 18 - 30. Your race is not important. PS: Please only PMs .. ___________________________ Get Rich or Die Tryin'
0 Reactions
12 Replies
1K Views
...most parents worst nightmare; ni pale wazazi wa binti wanapotarifiwa mtoto wao ameconceive, ni mjamzito...au hata, ameathirika kwa UKIMWI. ...achilia mbali matayarisho ya kiroho, ni mambo gani...
14 Reactions
163 Replies
17K Views
Unamfundisha mwanafunzi anakuambia sijaelewa, unarudia mara mbili zaidi bado hajaelewa, lakini baadae unagundua mwanafunzi huyu ni wa kike na wewe mwalimu ni mwanaume ufanyeje?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…